Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nchi hii kuna mambo ambayo bila kuongelewa na wanasiassa au watu maarufu, mambo hayo huendelea kufanyika hata kama yako kinyume cha sheria na yanaumiza wananchi. Mojawapo na hili la mikopo ya...
3 Reactions
25 Replies
186 Views
Wakuu Hivi huyu member wakuitwa Tatiana yuko wapi? Niwahi kua napenda michango yake na alikua decent kupita maelezo. Hapatikani na najaribu kuangalia ni kama hayuko active. Wanaomfahamu...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Haiwezekani mbinguni au katika ulimwengu tusiojua wanaishi viumbe wawili wanaoogopana. Sasa tutajua nani mwenye nguvu? Inasemekana shetani ni mbaya kama tulivyokalilishwa na Mungu lakini...
13 Reactions
110 Replies
1K Views
Mimi binafsi nimezaliwa mwaka 1988 wakati ambao Tanganyika & Zanzibar zilikuwa kwenye muungano uliozaa Tanzania. Wiki ikiyopita niliamua kujipa likizo binafsi,kwakuwa ninafanya kazi nyingi kwa...
4 Reactions
75 Replies
477 Views
Binafsi ni mdau wa afya na ni mnufaika wa bima ya taifa NHIF , Tanzania kwa ujumla tuna bima za afya nyingi sana kama :- -NHIF -ASSEMBLE -STRATEGIES -JUBILEE -Cigna -BRITAM -BUPA -UAP -HEALIX -WCF...
10 Reactions
161 Replies
6K Views
Kabla ya kuendelea, turejelee kauli aliyoitoa Colonel Lionel Dyck, mkurugenzi wa jeshi binafsi la DAG ambaye mkataba wake wa kutoa msaada wa anga pale Msumbiji ulitamatika tarehe 6, April 2021...
20 Reactions
57 Replies
1K Views
Madudu anayoyaibua yanawaumbua watangulizi wake na hata "maRC"wa mikoa mingine. Kwa sasa anajulikana nchi nzima, lakini kuna watu hawayajui hata majina ya wakuu wa mikoa yao. Mbali na kuwa...
5 Reactions
8 Replies
194 Views
Habari zenu na poleni kutokana na jitihada za kujikinga na ugonjwa wa kukosa pumzi Huyu jamaa mkwepu nimetokea kumpenda bure tu jamani yaani kila post au koment nayoiona mjamaa kashaitembelea...
29 Reactions
64 Replies
4K Views
Binafsi nimezaa na mwanamke mmoja mbaye ameajiliwa na Jeshi moja wapo miongoni mwa majeshi hapa nchini,Huyu mwanake amekuwa na nyodo sana kutokana na kazi yake anayoifanya! Huyu mwanamke anaijua...
1 Reactions
3 Replies
42 Views
Kwa Ufupi, Mara tu baada ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuapa tarehe 19 March 2021 akamteua David Kafulila kuwa mkuu wa Mkoa Simiyu. Kafulila akajielekeza moja kwa moja kwenye kupambana na...
26 Reactions
106 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,858,999
Posts
49,762,171
Back
Top Bottom