Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
518K Replies
30M Views
Wadau natafuta mke mwenye sifa zifuatazo: 1) Awe muislamu 2) Kazi sio lazima 3) Awe na upendo asije kujaribu awe serious tufunge ndoa 4) Asiwe na mtoto na pia asizid miaka 35 5)Awe mweupe Mimi...
1 Reactions
12 Replies
72 Views
Mzuka Wanajamvi. Nimesikitika sana Marekani CIA kutaka kuipindua Serikali halali ya kidemokrasia ya Congo DRC. Kumbe uzushi tunasikiaga hawa CIA wanafanya Africa kumbe ni kweli. Tunawateteaga...
0 Reactions
13 Replies
29 Views
Tumeshuhudia usafiri wa helkopta ukiondoa nafsi za viongozi mbalimbali hasa katika kampeni za kisiasa au operesheni mbalimbali zikiwemo za kijeshi. Ni usafiri ambao unafaha sana kuzunguka eneo...
7 Reactions
52 Replies
655 Views
Mwanzo 12:3: Kauli ya "yeyote atakayeibariki Israeli" ni ahadi ambayo Mungu alimpa Abrahamu, babu wa taifa la Israeli, kama ilivyoandikwa katika Kitabu cha Mwanzo katika Biblia. Mungu alimwahidi...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Imethibitishwa kuwa raisi wa Iran alikuwa ndani ya helicopter hiyo iliyopata ajali. Vikosi vya uokoaji vimeshindwa kutambua na kufika neo husika ilipotokea ajali hiyo kwa sababu ya hali mbaya ya...
26 Reactions
977 Replies
28K Views
Kila kona anapigwa spana. Sijui hakujiandaa kuwa Rais alishtukia amekuwa Rais hivyo hakujua anachofanya ofisini kabisa. Yeye kila aliyekuwa anaonesha ana mawazo positive ya kumzidi yeye basi...
12 Reactions
86 Replies
3K Views
Leo ni jumatatu na kama ilivyo Ada watu wako busy haswaa....pamoja na uchovu wa week end lakini watu wanajongea maeneo Yao ya kujitafutia rizikii. Bila shaka na nyie wa JF wenzangu mko sawa kabisa...
2 Reactions
9 Replies
32 Views
Usikose Kufuatilia Mubashara, leo Jumatatu. Hotuba ya Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2024/2025 ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa itakayosomwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Salaam, Shalom!! Mungu ni Jina la Cheo kikubwa kuliko vyeo na mamlaka yote Mbinguni na duniani. Swali ni je, Mungu analo Jina lake binafsi? Jina la Mungu ni nani? Karibuni 🙏
8 Reactions
445 Replies
8K Views

FORUM STATS

Threads
1,855,364
Posts
49,659,221
Back
Top Bottom