Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

1. Mlichokivuna kwenye maandamano yaliyoitishwa mikoa yote kwa kukosa watu, ni dalili kuwa hakuna Mtanzania anawaelewa nini mnataka. Watanzania wanaunga mkono Serikali ya awamu ya sita...
1 Reactions
10 Replies
168 Views
Kutoka Dodoma Naibu Waziri Mkuu Dotto Biteko amezindua matumizi rasmi ya magari ya umeme Kwa Wananchi wanapotaka kuyatumia...
4 Reactions
20 Replies
227 Views
Kumekuwa na sintofahamu kati ya Majiji haya mawaili yanatotikisa Tanzania ukiachilia Dar. Majiji haya yamezua gumzo miongoni mwa watu kwa kujaribu kuyashindanisha lakini pamoja na kuyashindanisha...
4 Reactions
7K Replies
206K Views
Siongezi neno shuka utizame
4 Reactions
64 Replies
1K Views
Katika kesi iliyokuwa ikimkabili Raisi wa zamani wa Marekani Donald Trump iliyohusu kutumia fedha isivyo halali kumlipa mwanamke aliyelala naye, wazee wa mahakama (jury) 12 wamefikia uamuzi kwamba...
7 Reactions
109 Replies
2K Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila awashangaa wanaotaka Tume huru ya Uchaguzi isiwe chini ya Rais ama Rais asiwe na Mamlaka na Tume hiyo. Hakuna tume itazaliwa Rais asiwe na mamlaka...
0 Reactions
20 Replies
244 Views
Wakuu habari za mda huu, naomba kufahamu TCAA mtu wa Diploma of aviation aweza kulipwa kiasi gani na jinsi wanavyofanya kazi, maana nimeona nafasi sehemu. ASANTENI.
4 Reactions
52 Replies
870 Views
Katibu Mkuu wa CCM Dr.Emmanuel Nchimbi ametoa angalizo Kwa Watanzania kuwajataa Wanasiasa uchwara wa Upinzani. Akizungumza mjini Singida, amekemea Vyama Vya msimu na vyenye uroho wa madaraka...
0 Reactions
2 Replies
22 Views
Yule "Bwana" aliyetamba Jamiiforums miaka ya 2018 amekuja kivingine katika mtandao wa "Twirraaah". Baada ya Kamati ya Roho mbaya ya Jamiiforums kumnyuka makombora na kumsimanga, akaamua atimkie...
12 Reactions
42 Replies
828 Views
Kama kuna siku nimewahi kudhalilika basi ni leo. Hivi jamani hawa jamaa wanao-deal na application za kutoa mikopo wanapata wapi haki yakuingilia faragha kwenye simu ya mteja nakuhack majina...
2 Reactions
23 Replies
389 Views

FORUM STATS

Threads
1,858,787
Posts
49,756,435
Back
Top Bottom