Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Imethibitishwa kuwa raisi wa Iran alikuwa ndani ya helicopter hiyo iliyopata ajali. Vikosi vya uokoaji vimeshindwa kutambua na kufika neo husika ilipotokea ajali hiyo kwa sababu ya hali mbaya ya...
24 Reactions
856 Replies
23K Views
Habari zenu wana JF. Mimi ni ME Ninayeishi Daslam iliyochangamka. Natafuta binti wa kazi ndugu zanguni Binti awe na umri kati ya miaka 17 na 22. Awe mwaminifu, msikivu na mwenye moyo wa huruma...
1 Reactions
9 Replies
29 Views
Leo nipo safarini kuelekea Dar es salaam kupitia route ya Msata-Bagamoyo. Nimepita hotel ya kitalii ya KIROMO VIEW RESORT ambayo ilizinduliwa na Kikwete mwaka 2009. Hivi sasa yamebaki maghofu...
30 Reactions
128 Replies
9K Views
Upotoshaji wa taarifa kwenye soka hufanyika zaidi wakati wa msimu wa usajili. Kipindi hiki ambacho mashabiki wa soka hufuatilia kujua Wachezaji wanakuja na kuondoka kwenye timu zao, wapotoshaji...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Tumeshuhudia usafiri wa helkopta ukiondoa nafsi za viongozi mbalimbali hasa katika kampeni za kisiasa au operesheni mbalimbali zikiwemo za kijeshi. Ni usafiri ambao unafaha sana kuzunguka eneo...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Saa tatu hii Korogwe hapa abiria wapo ila Gari zinaenda kulazwa madereva wanawahi nyumbani na abiria wapo vituoni Huu mradi unauliwa na wafanyakazi wenyewe alafu mtu anasema wanapata hasara...
1 Reactions
14 Replies
222 Views
Ndugu zangu leo nimerudi nyumbani jioni nimemaliza kula nikawa naangalia movie sasa chumbani kwangu huwa kuna panya nikawa nimemuingiza paka ili awinde. Sasa mke wangu huwa hapendi japo nilisha...
6 Reactions
42 Replies
584 Views
Kipindi cha mwaka 2020 kuna Ndugu zangu waliokuwa Canada walikuwa wanaagiza nguo na viatu kupitia DHL Kutoka hapa Bongo na sababu kuu walikuwa wanasma Bidhaa za Za mavazi Canada ni Ghali kupinduka...
28 Reactions
105 Replies
3K Views
Wanabodi Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na kwa Maslahi ya Taifa, kila Jumatano kwenye gazeti la Mwananchi na Jumapili kwenye gazeti la Nipashe na kwenye kipindi cha KMT on Channel...
6 Reactions
76 Replies
1K Views
Position: Investigation Officers II (250 Posts) Required Qualifications: Academic Qualifications: Applicants should possess three years Advanced Diploma or Undergraduate degree from...
5 Reactions
71 Replies
7K Views

FORUM STATS

Threads
1,855,315
Posts
49,658,323
Back
Top Bottom