Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Jakaya Kikwete alitumia miauniza gani kuajiri almost wote waliohitimu kipindi chake hasa ualimu na udaktri kiasi ambacho watu walikuwa wanapa giwa bila hata kuomba unajikuta umepangiwa mkoa flani...
2 Reactions
9 Replies
110 Views
Angalau awe amemaliza SEAP Programme in Road Construction Experience: At least 3 Years in Road Construction Age: 18-30 yrs Tuma CV na Barua ya Maombi kupitia email: pinnan32@gmail.com Mwisho wa...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
521K Replies
30M Views
Kila siku tunalia kuhusu kuadikika Kwa Dola licha ya juhudi za kukuza Uchumi lakini hakuna ambae anajadili jambo Hilo Kwa kuangalia sababu za msingi. Mojawapo ya vitu vinavyosababisha kuadikika...
3 Reactions
78 Replies
789 Views
Ndugu zangu wa Yanga kama nilivyoandika kwenye kichwa changu cha habari. Siku itakayopangwa na hao wahuni kwa lengo la kutoa hizo tuzo zao, msihudhurie. Maana itakuwa haileti mantiki. Mkifanya...
1 Reactions
3 Replies
96 Views
Habari za majukumu wakuu, Najua ngumu watu kukupa njia ya mafinikio ila najua wapo wanaoweza kunipa. Nimejaribu kutafuta uzi wa kwenda nchi jirani kusaka vibarua ila naona wengi waliuliza tu...
3 Reactions
15 Replies
203 Views
Hii ni kwa mujibu wa taarifa yake aliyoitoa leo kupitia mtandao wake wa kijamii --- Kwa ajili ya ustawi wa chama changu na uimara wake ktk kujenga misingi bora na muhimu haswa ktk kipindi hiki...
0 Reactions
9 Replies
123 Views
Baada ya muda mrefu wa kukomaa na candlestick na video za YouTube rasmi nimejitoa kwenye biashara hii ya forex. Lengo la uzi huu ni kuwakaribisha newbie kwenye hii biashara ya forex inayosadikika...
32 Reactions
657 Replies
37K Views
Mtu mmoja akanishangaa kwamba Kwa mchanganyiko huo wa ndizi mbivu na supu ya nyama ama ya pweza kwamba natafuta kitu gani tumboni yeye anachojua Kwamba ndizi ni tamu zina sukari huku supu...
0 Reactions
3 Replies
48 Views
Tunafanya delivery kwa Wakazi wa Dar Unalipia ukipokea bidhaa yako Free delivery kwa Wakazi WA Dar(10KM) Tupo kariakoo mtaa wa ndanda na magira
6 Reactions
1K Replies
30K Views

FORUM STATS

Threads
1,858,570
Posts
49,749,756
Back
Top Bottom