Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana. Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye...
4 Reactions
101 Replies
953 Views
Nakuombea upone haraka urudi kwenye afya njema Pole sanaa, haupo peke yako nipo na wewe kwenye kila hatua Wakati wote umekua ukinijali mimi, ni wakati wangu kukuonyesha nakujali pia Upone haraka...
6 Reactions
90 Replies
538 Views
TFF hebu oneni aibu basi, inakuwaje Tuzo za ligi ya msimu huu zikafanyike mwanzo wa msimu mwingine? Hili linashangaza sana maana mmeamua kuvunja hata kanuni yenu wenyewe kwa sababu Kanuni ya 11...
2 Reactions
13 Replies
344 Views
Ulikuja ukaagiza maji yawepo, maagizo yalitupwa kapuni. Waziri hawa watendaji wanatusababishia ubakaji kwa watoto na kinamama wakihangaika kutafuta maji. Tusaidie
1 Reactions
5 Replies
86 Views
Huyu memba nampenda sana Mimi ni yule yule kijana wa makamo 40+ Wewe member nakupenda sana sijali watakachosema mimi na wewe mpaka kiama Nakupenda Eph kwanza hueleweki mchumba wako ni nani ...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Katika ajali niliyoipata mchana wa leo Jumamosi May 11, 2024.. Mwenyezi Mungu ameninusuru, na amenijalia ahuweni ya mapema kwenye majeraha mabaya niliopata kwenye mguu wangu wa kulia na kwenye...
17 Reactions
54 Replies
1K Views
Mkono mtupu haulambwi! Naam, ndivyo ninavyoweza kulielezea hili. Wikiendi iliyopita Rais alijumuika kwenye uzinduzi wa albam ya msanii wa kizazi kipya Harmonize akiwa kama mgeni rasmi pamoja na...
4 Reactions
38 Replies
688 Views
Mambo vipi apo nyuma ya keyboard, ugonile.!! Kiukweli zama zimebadilika sana ni ajabu sana wanawake sikuiz ndo wanaitisha mechi kwa kisingizio kuwa mnatest kama yaliyomo yamo kwa wachumba zenu...
11 Reactions
54 Replies
649 Views
Watumishi wengi wa umma ni watu waliojariwa kwa vimemo wengine ni mahawara wa viongozi ,watoto wa viongozi, wapwa wa viongozi ,watoto wa mahawara wa viongozi, mashemeji ,wajukuu na marafiki . Hii...
3 Reactions
23 Replies
446 Views

FORUM STATS

Threads
1,858,358
Posts
49,743,786
Back
Top Bottom