Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

choo kigumu shughuli yake ni pevu kweli kweli, waweza ugulia maumivu usiku mzima. hivi hao wanaofanya huu ufuska wa kuingiliwa na mitulinga ya haja wana hali gani ?
0 Reactions
2 Replies
17 Views
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT. Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike...
23 Reactions
324 Replies
8K Views
Greetings siblings, Hope y'all doing fine. This is something very important you should think about. Millions of people never analyze themselves, Mentally they are merchanical product of the...
6 Reactions
66 Replies
365 Views
Peace, Itakushangaza lakini ndio ukweli, tupo katika zama za upendeleo na "kuinuliwa" kwa wanawake na fursa kede kede pasina shaka mimi na wewe tulitegemea ustawi wa wanamakae kiuchumi, kiroho...
51 Reactions
300 Replies
4K Views
Ni mtu asiyefaa kuwa kiongozi wa umma, amedhulumu uhai wa watu wengi Sana. Amezuiwa kuingia US, amefilisi raia, sijui kwanini huyu amepewa nafasi wakati hata aliyemfuga alimuogopa kwakuwa katili...
5 Reactions
16 Replies
265 Views
Safari, iliyojaa ahadi ambazo hazijatimizwa na vikwazo vya kifedha, imeacha sehemu za reli bila kukamilika na wafanyakazi wengi kuondolewa kwenye vipande vingi ambavyo ujenzi umesimama. Kipande...
13 Reactions
69 Replies
2K Views
Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana. Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye...
0 Reactions
30 Replies
225 Views
Maisha ya kujitegemea nimeyaanza january mwaka huu na kipato changu kwa mwezi kina range 400k mpaka 600k. Nimepanga chumba kimoja na choo ndani kodi nalipia 80k kwa mwezi, Usafiri natumia 2k kwa...
2 Reactions
25 Replies
220 Views
Awali "Y" alikuwa Wakili na aka attest nyaraka za Mzee "X". Hatimaye Tapeli "Z" akadhulumu kiwanja, kesi ikafunguliwa. Na kwa bahati mbaya ikaanguka kwa Jaji "Y" ambaye ndiye alikuwa Wakili wa...
15 Reactions
172 Replies
5K Views

FORUM STATS

Threads
1,858,326
Posts
49,742,977
Back
Top Bottom