Naomba leo anayejua anieleweshe hapa, kwa nia nzuri kabisa. Yesu alisema tuombe kwa kupitia Jina lake, inakuwaje watu wanaomba kupitia maria? naangalia tumaini tv hapa padre akasema tuombe kwa...
Imethibitishwa kuwa raisi wa Irani alikuwa ndani ya helicopter hiyo iliyopata ajali.
Vikosi vya uokoaji vimeshindwa kutambua na kufika neo husika ilipotokea ajali hiyo kwa sababu ya hali mbaya ya...
Wanaume wengi na vijana wengi wa humu hawana pesa ndefu wala michongo ya kueleweka kama wanawake ndo maana wanaume wa humu wamejaa makasiriko.
Kila uzi wanawake, mara singo mom jamani tafuteni...
1-
UWAKALA WA MITANDAO YA CM
M-pesa
Tigopesa
Airtel money
Halopesa
2-
Duka la maziwa fresh+mtindi + juice fresh
3-
Banda la chipsi + vinywaji
ANGALAU KWA MWEZI NIINGIZE 300,000 TU
(300,000)
Hellow habari 🤗
natafuta boyfriend atakae kua mume baadae
Sifa zangu
1. Mwanamke 25 years
2. Cristian
3. Height 161cm
4.63 kg
5. Rangi caramel
6. kazi;najishughulisha hapa na pale
Sifa zake
1-...
Jeshi la DRC latangaza kuzuia jaribio la mapinduzi dhidi ya Rais Felix Tshisekedi
CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Maelezo ya picha,Rais Tshisekedi
Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo...
Kipindi cha mwaka 2020 kuna Ndugu zangu waliokuwa Canada walikuwa wanaagiza nguo na viatu kupitia DHL Kutoka hapa Bongo na sababu kuu walikuwa wanasma Bidhaa za Za mavazi Canada ni Ghali kupinduka...
CHADEMA NI UNDER DOG WA CCM MIAKA NENDA RUDI….!
Hivi karibu tumeona na kushuhudia matendo ya ajabu sana ndani ya Chadema, chama ambacho kilijitanabaisha kama mbadala wa CCM, kwamba kimefikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.