Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Israel imekasirika mpaka imeita mabalozi wao kutoka nchi hizo, kwasababu kutambua nchi ya Palestine ni kama kusema Isreal ni mvamizi rasmi na anapaswa kuondoka. Tena kibaya zaidi Rais wa Norway...
14 Reactions
107 Replies
2K Views
Wachungaji na wanasiasa kuomba waumini au wananchi wawachangie kununua vitu kama mfano magari au kuwachangia kufanikisha safari zao za kwenda Ziarani nje ambazo nyingine ni mapumzikoni tu . Au...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Sijamsikia siku mbili hizi. Hakuongoza kikao cha Kamati Kuu Unguja. Siku hizi wapo watu wengi wanautamani urais,kwa hiyo rais akitoweka lazima tuulize
23 Reactions
129 Replies
4K Views
Asubuhi hii, nimebahatika kuona mjadala wa wanasiasa kupitia UTV ambapo mwenyekiti wa ngome ya vijana ya ACT wazalendo, amemvaa vilivyo naibu katibu mwenezi wa CCM Zanzibar Khamis Mobeto. Katika...
3 Reactions
32 Replies
881 Views
Tujiunge na CCA to celebrate Africa Day this Saturday 25th  Dear CCA Members and Partners, Corporate Council on Africa is delighted to remind you of the upcoming celebration of Africa Day on...
1 Reactions
4 Replies
34 Views
Wakuu nahitaji Kujua Kama kuna namna ya kuset ili Kujua mtu aliyejaribu kukupigia wakati haupo hewani kwenye mtandao wa tigo
0 Reactions
3 Replies
98 Views
Manispaa ya Moshi chini ya Sheria ndogo za (ada na ushuruj ya Mwaka 2019, Tangazo in Serikali Na. 148 la Tarehe 15/02/2019, imeainisha ada na tozo mbalimbali katika kuendesha sherehe kwenye kumbi...
3 Reactions
31 Replies
439 Views
Wadau hamjamboni nyote? Leo nimeamini kuwa Watutsi na Waethiopia ni ndugu wa damu kabisa na kama kuna tofauti basi ni nchi tu wanazoishi kwa sasa. Tazama picha hapo chini ya Rais Paulo Kagame...
1 Reactions
15 Replies
587 Views
Habari. Nina mtoto wa miezi miwili. Kuna changamoto aliyonayo ya kutolala karibia usiku mzima yaani analala kimagepu huku akiwa hayuko comfortable. Na akiwa macho hatulii na mama yake pia...
5 Reactions
77 Replies
2K Views
I know I might be the one who stimulate Ricardo Momo to improve his presence in the show . But not him to resign . I believe wasafi can reach a deal with him . We depend on him to give us...
0 Reactions
2 Replies
3 Views

FORUM STATS

Threads
1,856,248
Posts
49,685,945
Back
Top Bottom