Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Magari hayo ni ya kimkakati na kazi maalumu. Yatasambazwa kwenye kila kanda, katika kanda zote za kichama nchi nzima. Magari haya yatakua chini ya usimamizi wa viongozi waandamizi wa kanda...
4 Reactions
29 Replies
494 Views
KAMA ULIKUWA HUJUI... Nchi ya Latvia ina idadi kubwa ya wanawake kuliko wanaume katika bara lote la ulaya Wanawake ni asilimia 17 zaidi ya idadi ya wanaume Yaan kwenye wanawake 117 kwa...
5 Reactions
34 Replies
431 Views
Leo ni jumatatu na kama ilivyo Ada watu wako busy haswaa....pamoja na uchovu wa week end lakini watu wanajongea maeneo Yao ya kujitafutia rizikii. Bila shaka na nyie wa JF wenzangu mko sawa kabisa...
16 Reactions
121 Replies
3K Views
Habari za asubuhi mabibi na mabwana, ni matumaini yangu mu wazima wa afya. Naomba kuuliza Kwa wenyeji wa Tabora na maeneo mengne ya Tanzania mwenye uelewa kuhusu huu mgodi upo maeneo gani...
2 Reactions
2 Replies
35 Views
Haya ni maisha ya kawaida kwa mikoa iliyo mingi hapa Tanzania labda ukiiondoa Dar pekee. Maisha ya mikoani ni full kufatiliana wajue unafanya nini au unapanga kufanya nini na lengo sio kusaidia...
10 Reactions
33 Replies
868 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
518K Replies
30M Views
Watu Wenye busara huyaangalia madhara ya matokeo na kuyakinga. Wakati mnapanga fainali ya CRDB federation cup kufanyika Manyara wiki mbili zilizopita ni Wazi hamkuzingatia madhara ya matokeo ya...
8 Reactions
18 Replies
594 Views
Kila kona anapigwa spana. Sijui hakujiandaa kuwa Rais alishtukia amekuwa Rais hivyo hakujua anachofanya ofisini kabisa. Yeye kila aliyekuwa anaonesha ana mawazo positive ya kumzidi yeye basi...
16 Reactions
106 Replies
4K Views
Kipindi cha uongozi wa Raisi Kikwete tulibahatika kupata ujio wa bwana Aga khan na familia yake kama ilivyo utaratibu wao wakutembelea nchi kwa nchi. Kutokana na michango mingi ya Aga Khan kama...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Samia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news. Lakini Cha ajabu...
2 Reactions
22 Replies
102 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,896
Posts
49,676,057
Back
Top Bottom