Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kuna watu huwa wanajizarau kuwa Bongo bahati Mbaya ila huwa nacheka tu, ila hawajui sehem inaitwa INDIA au Wahindi Moja kati ya watu wa hovyo linapokuja swala la biashara ni Wahindi Mhindi ni mtu...
10 Reactions
16 Replies
150 Views
Hii inachekesha kidogo 😂😂😂 Je wewe ni aina gani ya Mke au upo katika aina gani ya mke? Hata kama hajaolewa lakini unatumaini kuwa Mke wa mtu. 1. BOXING WIVES : Hawa ni aina ya wake wanaopigana...
5 Reactions
31 Replies
255 Views
Hivi mfumo wa kutuma maombi ya ajira jeshi la polisi ni kwangu tuu unasumbua ama na wengine mmekutana na changamoto hii?
2 Reactions
339 Replies
21K Views
Nimefanikiwa kupiga soga na hawa watu wa kanda ya nyonyo wanalaani vikali kuongozwa na wasimbe tena wanasema bora hata wasimbe tu ila sio toka nchi za mbali waliozungukwa na mqji pande zote. Kwani...
0 Reactions
11 Replies
67 Views
Kumekuwa na mtindo wa kudai nafasi za Uongozi ktk serikali ya Muungano kati ya dini mbili; waislamu na wakristu. Kuna watu hadi hutoa hesabu kati ya dini hizi mbili. Ni dalili ya udini ndo inaleta...
2 Reactions
12 Replies
102 Views
Hakuna haja ya kununua bisi. Ni gharama ndogo sana kuzipika nyumbani kwa kutumia jiko la gesi. Nunua mahindi ya popcorn. Kilo inauzwa 4,000 na ndonya 1,500. Tenga sufuria kubwa kubwa jikoni...
4 Reactions
11 Replies
100 Views
Habari wakuu, Wiki chache nyuma nilikuja jukwaani kuomba msaada wa jinsi ku block users amabo wanapata access ya password, Baada ya kuitumia Router ya Airtel kwa kipindi kirefu sasa imeanza...
1 Reactions
1 Replies
38 Views
Hivi kuna mtu wakumkamata Netanyahu na Putin? Tuache utani, kama Africa kusini walishindwa kumkamata Al Bashir, dunia inaweza kuwakamata Netanyahu na Putin? Dunia imejaa unafiki. Viongozi wa...
0 Reactions
4 Replies
25 Views
Huu ni Wosia kwa Vijana wote wa Tanzania uliotolewa na mbunge wa Nzega Vijijini Dr Kigwangala " Ukiwa Juu Epuka sana Jeuri Kiburi na Majivuno kwani kuna Kupanda na Kuanguka" Wosia ameuandika...
1 Reactions
23 Replies
225 Views
Dar ni Jiji la kwanza kwa maendeleo Tanzania na yamkini Afrika Mashariki. Dar imejaa Fursa mbalimbali za kujikwamua Kiuchumi kwa kijana mtafutaji na mpambanaji hasa ambae ana lengo la kutoboa...
5 Reactions
61 Replies
610 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,971
Posts
49,678,583
Back
Top Bottom