Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Bwana mdogo Lucas Acha kuitafakari mambo kama Mzee wa miaka 90 hii Dunia imebadilika sana Upinzani ni nguvu ya Hoja siyo Idadi ya Wanachama Samahani lakini 😂🔥
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Ndugu zangu Watanzania, Michago ya kumchangia Lissu Fedha za kununulia Gari imewaumbua sana CHADEMA, imewapa aibu,fedheha ,imewavua nguo hadharani na imeonyesha na kuthibitisha kauli yangu...
11 Reactions
192 Replies
2K Views
Sina maneno mengi. Mimi ni mpenzi wa Magwaride ya Kijeshi. Katika magwaride ya nguvu ambayo JW wamewahi kufanya ni hili la mwaka 2021, miezi michache kabla ya Kifo cha Magufuli. Kweny hili...
2 Reactions
10 Replies
661 Views
Hii gari imekuja leo haina changamoto inauzwa bei yake ni 4m maelewano yapo ,haina changamoto wala kipengele chochote namba 0625927098 nikutumie video yake na maelekezo mengine. Gari ipi Dodoma.
0 Reactions
2 Replies
83 Views
Wakuu mimi wa muda mrefu huku JF nilikuwaga na account yangu nikaipoteza. Ombi langu kwenu ni naomba mwenye kibarua chochote anisaidie, nipo mkoa wa Arusha. Nina diploma ya accounting yenye G.P.A...
4 Reactions
13 Replies
282 Views
Evidence Is Now emerging Indicating the Iran Presidential Helicopter Crash WAS an Assassination MAY 20, 2024 The crash of the Iran Presidential Helicopter is starting to appear to be a...
17 Reactions
173 Replies
5K Views
Habarini wanajamvi, kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu. Hivi nini kinakujia akilini baada ya kubadilishana namba za simu na mdada ukimcheki anaanza kukuambia nitumie vocha sms zangu...
4 Reactions
49 Replies
601 Views
Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt Ashatu Kijaji amesema kuwa Tanzania ina jumla ya viwanda 28 vya kuzalisha chuma na bidhaa za chuma. Dkt. Kijaji ameyasema hayo Leo mei 21,2024 Bungeni Wakati...
0 Reactions
7 Replies
94 Views
ICC kusema Waziri Mkuu wa Israel akamatwe Kwa makosa ya uhalifu dhidi ya binadamu, naona kunashadadiwa Sana na baadhi ya watu. Lakini makosa ya Netanyahu yanafanana Sana na makosa anayotuhumiwa...
4 Reactions
17 Replies
367 Views
Watu Wenye busara huyaangalia madhara ya matokeo na kuyakinga. Wakati mnapanga fainali ya CRDB federation cup kufanyika Manyara wiki mbili zilizopita ni Wazi hamkuzingatia madhara ya matokeo ya...
4 Reactions
14 Replies
516 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,881
Posts
49,675,711
Back
Top Bottom