Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwa wale waliomponda Robot Eunice habari hii njema iwafikieni Robot Eunice atakuwa mwenyeji wa Shindano la Robot barani Africa Watanzania tembeeni Vifua mbele Mlale Unono 😀😀
5 Reactions
20 Replies
248 Views
Salaam, Shalom!! Miaka ya zamani kidogo nilikuwa katika Taasisi Moja kubwa, Kuna kiongozi mmoja kazini akanialika twende tukapate supu ya mbuzi, Tulipofikia eneo lile kumbe Bana, supu ya mbuzi...
30 Reactions
184 Replies
3K Views
Enzi za ‘zidumu fikra za mwenyekiti ‘ hazipo tena. Tunapaswa kuacha kuvhukua Nukuu zake ili zitumike kama reference huko Bungeni. Socialism, Poor Education, Setup mbovu ya muungano, lack of...
15 Reactions
112 Replies
2K Views
1. Inaelezwa kuwa kiungo wa Young Africans Aziz Ki ameongeza mkataba wa miaka miwili na timu hiyo 2. Klabu ya Azam na Young Africans zinamuwania beki kisiki wa Coastal Union Lameck Lawi 3. Kuna...
11 Reactions
87 Replies
12K Views
Habari wana jamii forum. Nina mtoto wangu wa kiume miaka 2 na nusu, mwanagu huyu anasumbuliwa mno mno na kifua na hata mafua. Nimehangaika hospital nyingi anapewa madawa na kuchomwa sindano kwa...
0 Reactions
2 Replies
20 Views
Yapo majina ya kizungu na kiarabu ambayo yanatumiwa na kuhusudiwa sana na baadhi ya makabila ya kitanzania kiasi kwamba sasa yanaonekana kama ni majina ya makabila hayo. Baadhi ya majina hayo ni...
5 Reactions
98 Replies
9K Views
Salaam, Shalom!! Mungu ni Jina la Cheo kikubwa kuliko vyeo na mamlaka yote Mbinguni na duniani. Swali ni je, Mungu analo Jina lake binafsi? Jina la Mungu ni nani? Karibuni 🙏
8 Reactions
403 Replies
8K Views
CHADEMA NI UNDER DOG WA CCM MIAKA NENDA RUDI….! Hivi karibu tumeona na kushuhudia matendo ya ajabu sana ndani ya Chadema, chama ambacho kilijitanabaisha kama mbadala wa CCM, kwamba kimefikia...
7 Reactions
32 Replies
265 Views
“Tumepokea ugeni mzito kutoka moja ya Klabu kubwa Barani Afrika, TP Mazembe ya DR Congo ambao wamevutiwa na namna Klabu yetu ya Yanga inavyoendeshwa hivyo wamekuja hapa Tanzania kujifunza mambo...
19 Reactions
171 Replies
3K Views
Tuzo hii itakuwa kivutio kwa mabinti na itakuwa chachu ya mabinti kutunza usichana wao mpk siku ya ndoa. Tunzo hii iendeshwe nchi nzima kila ngazi "ngazi msingi" i.e kila kitongoji/mtaa. Vyeti...
9 Reactions
77 Replies
463 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,231
Posts
49,655,834
Back
Top Bottom