Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwa mtazamo wangu bila kwenda mbali, nikwamba Islael kashindwa vita! alichobaki nacho ni War Madness!. Amebaki kupiga huko na huku akiua watu wasiyo na hatia akidhani anawaua watesi wake, kitu...
2 Reactions
11 Replies
209 Views
Habari wakuu, heshima kwenu wakubwa kwa wadogo Najua humu kuna watu wa kila aina wenye kufahamiana na watu wa kada mbalimbali mnaoweza kuwa msaada kwangu siku zijazo Mimi ni mtanzania kutoka...
3 Reactions
2 Replies
49 Views
Wakuu habari za muda huu. Mimi ni mkazi wa Kahama, Shinyanga, napenda sana nifanye kilimo cha vitunguu maji hasa ktk mikoa ya Singida na Manyara Tafadhari sana kwa mkazi wa Singida na Manyara...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Nimetafakari sana nikajikuta nacheka tu bila sababu. Hivi huyu Leonardo ana huu uwezo mkubwa wa kudadavua hesabu za kuzidisha namna hii? Ama ni vile Clouds wameamua ku-create content kwa lengo la...
14 Reactions
73 Replies
2K Views
Baada ya kumshangilia Robot aliyekuwa Zamu ya kupokea Wabunge pale Reception ya mjengoni ni vema tukamtafakari pia atakapoingia mitaani Faida zake na hasara zake Dr Slaa angeweza kuuliza Robot...
2 Reactions
24 Replies
508 Views
Kuna kasumba imejengeka ambayo inaweka classes za watu kulingana na Mkoa wanakotokea. Mathalani Mikoa ya Business Class (VVIP) ,Hawa Hujiona superclass na kwamba wanastahili attention Dar Arusha...
1 Reactions
6 Replies
34 Views
*Unalalamika kama Yeye *Unaongea sana kama Yeye *Unaongozwa na hisia kama Yeye *Una wivu sana kama Yeye *Huna misimamo kama Yeye *Una matiti na kitambi kama Yeye
10 Reactions
24 Replies
316 Views
Rais wa Nchi ya Zanzibar yuko Jijini Arusha kikazi maalumu Mkutano Mkuu wa CRDB. Kama ulivyo utaratibu wa kuwapokea Viongozi wakuu wa nchi mbali mbali,leo mji wa Arusha umetembelewa na Rais wa...
2 Reactions
21 Replies
257 Views
Labda Mimi elimu yangu ndogo, Mchina ana technology gani ya kumzidi USA🇺🇸 Nikiangalia wale mabwana kila sector wapo vizuri. 1) Upande wa ndege hawana mpinzani 2) Mambo ya space science ni hatari...
16 Reactions
160 Replies
3K Views
Wakazi wa Mbagala Mzinga Wamefunga barabara ya kutoka Dar kwenda Mikoa ya kusini kwa madai ya kuchoshwa na ajali kwenye eneo lao, jambo hilo limesababisha foleni kubwa ya Magari. Jambo hilo...
5 Reactions
17 Replies
508 Views

FORUM STATS

Threads
1,854,553
Posts
49,634,591
Back
Top Bottom