Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu, baada ya taharuki iliyotokea kuhusu Serikali kutoa idhini ya kuhesabiwa kwa Wanafunzi na Walimu waislamu Mashuleni naona imetoa zuio kwa kibali hicho. Hadi sasa bado haijajulikana kwanini...
0 Reactions
23 Replies
407 Views
Habari za mda huu waungwana, nahitaji msaada wenu wa jinsi ya kupata hati ya kiwanja kwa haraka nitumie mbinu ipi kwa mliobahatika kupata ama kwa watalaamu mliopo humu upande ardhi nahitaji...
0 Reactions
2 Replies
10 Views
Nadhani kila Mkoa nchini Tanzania una alama yake au kitu fulani maarufu sana kinachutambulisha Mkoa bila hata kuambiwa ukiona unajua tu hii kitu ya mkoa fulani. Twende kazi wadau, nini...
3 Reactions
38 Replies
262 Views
Watanzania hasa wa Jiji la Dar wameonesha kulalamika hatua ya Wachina kuamua kufanya biashara za Uchuuzi Badala ya Kuwa Wawekezaji Kama Vibali vya ukaazi walivyoomba. Wachina wameonekana maeneo...
2 Reactions
4 Replies
104 Views
Wakuu habari za muda huu. Mimi ni mkazi wa Kahama, Shinyanga, napenda sana nifanye kilimo cha vitunguu maji hasa ktk mikoa ya Singida na Manyara Tafadhari sana kwa mkazi wa Singida na Manyara...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu, Leo imetokea AJALI kubwa MBAGALA wamekufa watu zaidi ya wa4, AJALI hii imepelekea wananchi kufunga barabara, na kuandamana kwasabu wanadai hii ni AJALI kama ya 30 hivi. Na...
0 Reactions
1 Replies
8 Views
Jamiiforum ikigeuzwa ya mizaa mda sio mrefu itapuuzwa kuna social media nyingi sana zilivamiwa na watu wa mizaa soon zikapuuzwa hata jamiiforum ndo inapoelekea kuwa kijiwe cha watoto mfano kwa...
9 Reactions
67 Replies
532 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
517K Replies
30M Views
Kukata gogo ni moja ya kutoa uchafu mwilini. Katika mambo ya kiroho kukata gogo ni moja ya kutoa mikosi, nuksi na majanga katika mwili wa binafamu. Kwa maana hiyo watu tunashauriwa usipendelee...
3 Reactions
27 Replies
275 Views
Dada anafunguka vibaya huko clouds FM kuhusu mambo ya cdm. Anamuanika Mbowe hadharani.
16 Reactions
236 Replies
7K Views

FORUM STATS

Threads
1,854,537
Posts
49,634,143
Back
Top Bottom