Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habarini za leo wakuu tafadhali kwa wenyeji wa maeneo ya RUHUWIKO(songea) naomba mjitokeze unisaidie kuna ndugu yangu namtafuta sana hap
3 Reactions
4 Replies
59 Views
Habari wana Jf? Mimi ni kijana ila napenda kuwa na usafiri Kwa ajili ya mambo yangu ya kazi na privacy zangu mwenyewe za kimaisha. Kazi yangu ni Mwalimu . Naomba ushauri wa aina ya gari ambayo...
18 Reactions
169 Replies
11K Views
kwamba eti kuna mganga wa kienyeji mahali Fulani, anaweza kumrudisha mpenzi wako alie potea au kukutoroka au kukufanya upendwe sana na boss wako ofisini au akupe dawa ya kupandishwa cheo kazini...
4 Reactions
33 Replies
233 Views
Hii nakupa tu ushauri wewe unayetaka kumiliki gari lako na lisikupe mawazo ya kuonana na mafundi Kila siku. Asilimia 85 ya magari used Tanzania mmliki huuza kwa Sababu gari linamsumbua, asilimia...
52 Reactions
150 Replies
11K Views
Kuna lidude limewekwa bungeni nimeona hata wabunge wenyewe wanashangaa. Zaidi ya upigaji kwa aliyelileta je roboti lile MDEBWEDO linamanufaa gani kwa bunge? Kama manufaa yapo basi Serikali iwekwe...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Baada ya kumshangilia Robot aliyekuwa Zamu ya kupokea Wabunge pale Reception ya mjengoni ni vema tukamtafakari pia atakapoingia mitaani Faida zake na hasara zake Dr Slaa angeweza kuuliza Robot...
1 Reactions
5 Replies
21 Views
1. Kwamba huduma zenu ni kwa na kwa MB za bando? 2. Kwamba bando hu expire kwa siku au MB kuisha kutegemea kipi kinakuja mapema? 3. Kwamba mtandao umesua sua kwa takribani wiki nzima, ila...
5 Reactions
28 Replies
224 Views
Salamaleko, Shalom. Kama tunavojua kipindi hiki kwa maeneo ya vijijini ni kipindi cha kuvuna mazao na kuna niliko mimi kwa sasa debe la mahindi lina 7000 na debe la mpunga lina 5000. Maana yake...
19 Reactions
81 Replies
2K Views
Jamaa alikua anatoa ilmu ya kurani huku akiwalawiti hao wavulana, wakaamua kuungana na kumpa madawa ya usingizi, alipolala wakamuua.....bora akapewe mabikira kule. ‘He was sexually abusing us’: 6...
3 Reactions
24 Replies
685 Views
Wakuu zangu nliomba kujuzana juu ya chanel mbalimbali za DSTV...Ama wewe mpenzi wa DSTV unaifurahia chanel ipi katika kujifunza kwako. Nawasilisha
0 Reactions
11 Replies
293 Views

FORUM STATS

Threads
1,854,449
Posts
49,631,962
Back
Top Bottom