Forums
New Posts
Search forums
New Posts
New Posts
Latest activity
Members
Current visitors
Verified members
Log in
Register
Trending
Search
Search
Search titles only
By:
Current visitors
Verified members
Jamii Check
Stories of Change
Start Discussion
Fichua Uovu (MDAU)
Staff Online
Menu
Log in
Register
Navigation
More options
Change style
Contact us
Close Menu
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Navigation
General Forums
Sports &
Entertainment
Education, Tech
& Professional
JF English Only
Forums
East African
Forums
Fichua Uovu
Stories of Change
JamiiCheck
Members
Timerlane's latest activity
T
Timerlane
replied to the thread
Mwigulu: Sijawahi kuwasiliana na Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa e-mail tangu nizaliwe
.
Siasa za afrika unaweza kudhani unawatetea watu kumbe umetangulizwa mbele tu ili mambo yakiharibika basi wewe ndo wa kwanza kuondoka.
May 14, 2024
T
Timerlane
replied to the thread
Wanangu sijawafundisha kuwa wake bora nimewafundisha kupambana na maisha.
.
Maadili nayo ni mambo ya msingi sana, anaweza akajitegemea vizuri kabisa lakini akawa na maadili mabovu mfano Malaya Kila mtoto na baba...
May 11, 2024
T
Timerlane
replied to the thread
Kwanini Maaskofu wa Katoliki wanahubiri neno la Mungu kwa upole tofauti na wenzao wa madhehebu mengine?
.
Hakika, ila wengi hupenda kelele zile.
May 11, 2024
T
Timerlane
replied to the thread
Mwanangu anashindwa kutumia common sense?? Hii ni shida gani?
.
Wakati mwingine wazazi wanawaharibu watoto wao bila kujua, yaani mtoto usikosee ukifanya hivi kidogo mtoto anaangushiwa lawama ambalo...
May 10, 2024
T
Timerlane
replied to the thread
Kwanini Maaskofu wa Katoliki wanahubiri neno la Mungu kwa upole tofauti na wenzao wa madhehebu mengine?
.
Kwa mtazamo wangu vyote ni sahihi havina tabu, cha msingi ni kuwa wote wanaeleweka Kwa waumini wao.
May 10, 2024
T
Timerlane
replied to the thread
Shule zaandikiwa Barua kutoa takwimu za Idadi ya wanafunzi wa Kiislamu shuleni
.
Kipindi hicho nasoma haya mambo yalikuwepo hasa advance school, unakuta karatasi zinapita Kwa lengo la kufahamu idadi ya waumini wa dini...
May 10, 2024
T
Timerlane
replied to the thread
Phil Foden ana miaka 23 tayari ana mke na ana watoto wawili , Wewe una miaka 28 bado upo kwenu huna mke wala mume unasema bado mdogo
.
Kuna makosa tunayafanya kipindi cha 20's bila kujua kuwa ni makosa na Wala hautokuja kujua kuwa ulifanya kosa...wenzetu hili wanalijua...
May 10, 2024
T
Timerlane
replied to the thread
Mapenzi yanauma
.
Pole sana, lakini kumbuka hayo umeyataka wewe jua tu kuwa hakuna mtu anayeweza kukuumiza kihisia kama wewe binafsi hujaruhusu Hilo, ww...
May 10, 2024
T
Timerlane
replied to the thread
Mwijaku ni mpagani aliyekwenda Hijja!
.
Utafikiri mtoa mada ni shehe hahah, labda ungetuletea hata ushahidi au namna hiyo dini ya kiislamu inavyosema kuhusu kufuga mbwa...
May 10, 2024
T
Timerlane
replied to the thread
EPL: Wanaowania tuzo za Kocha Bora & Mchezaji Bora wa Msimu watajwa, Kura yako unampa nani?
.
Timu itakayotwaa taji ndiyo kwangu itatoa kocha Bora ni aidha Pep au arteta...mchezaji bora natamani awe Cole palmer amenishangaza sana...
May 10, 2024
Members
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.
Accept
Learn more…
Back
Top
Bottom
Forums
New posts
Post thread
Back