Tuliza makalio. Akili yako ni ndogo kuelewa kwa nini jana Eunice akitumia alili mnemba (Artificial Intelligence) alikuwa ndiye mkaribisha wageni bungeni na kutoa ile summary ya malengo ya wizara ya mawasiliano.
Dunia yote inakwenda kiteknolojia kuanzia elimu, utafiti, vita, usafirishaji na hadi...
Ana set pace then watendaji wake wata follow track. Sioni ubaya. Ila kama umedhulumu kiwanja cha mtu lazima umuone Jerry Silaa ni kero au mvunja utaratibu
Wewe wetangula ni mnufaika wa mfumo au ni mfanyakazi wa eGA. Ni kitu gani kinakuaminisha kuwa Rais ameingia chaka.
Hivi haya makitu yote kuwa ofisi ya Rais yanaleta tija gani? Treasury Registrar, ATCL, eGA etc
Lazima tufuate utawala wa sheria. Ukiacha haya mambo yaendelee kama amavyosema hiyu HAYAWANI Chalamila then tutakuwa ni Jamhuri ya ndizi (Banana Republic)
Sawa kabisa sheria ifanye kazi wanawagisha wasiojua nakudhoofisha matumizi ya mahakama. Wananchi wangejua hatuongozwi na mtu tunaoozwa na sheria wasingeogopa.
Mwambieni huyo mpumbavu kuwa hata Uganda itakuwa hivyo hivyo kama Sudan. Kwani tofauti ya Omar Al Bashir na Museveni ni nini?
Omar Al Bashir kachagua udikteta wa kidini wakati huyu Museveni kachagua Udikteta wa kifamilia. Museveni amemilikisha utawala wa nchi kwa familia yake na marafiki.
Sasa...
Wakina Mtikila, Njelu Kasaka, Aboud Jumbe, Faki, Seif Sharif Hamad walilibua na kutumia lugha yenye ukakasi kuliko hii na wamekufa Muungano umebaki.
Na sisi tutakufa na akina Tundu Lissu na Jussa ila Muungano utabaki.
Muungano huu ungekuwa siyo mzuri na hautatui kero basi ungeshavunjika kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.