Recent content by samweli wa pili

  1. S

    Sanduku la Agano liko wapi?

    Sanduku la agano liko hapa Ufunuo wa Yohana 11:19 [19]Kisha Hekalu la Mungu lililoko mbinguni likafunguliwa, na sanduku la agano lake likaonekana ndani ya hekalu lake. Kukawa na umeme, na sauti, na radi, na tetemeko la nchi, na mvua ya mawe nyingi sana.
  2. S

    Msaada: Dawa ya fangasi

    Uzuri wa Sua wanaotesha hao fungus kwa kufanya kitu kinaitwa culture and sensitivity kujua dawa gani itakufaa.
  3. S

    Wakatoliki mliokwazika na tamko la Papa jiungeni na kanisa aliloanzisha Padre Martin Luther la Lutheran msikae bila kusali

    Mbona kwa waitaliano ni mambo ya kawaida. Ushoga kwao ulianza zamani. Msimlaumu papa. Waroma wametaka wenyewe. Pia mara zote rc ina tabia ya kukumbatia matajiri alimradi wanatoa fedha. Waniliki wakubwa wa mabaa,madanguro nk ni warumi. Ndio kisa cha utajiri wa Rumi ya kidini, kuzini na matajiri...
  4. S

    CRDB BANK tunaomba ufafanuzi baada ya mikopo ya utumishi kutumia mfumo wa ess

    Shida ni kwamba bado wanakata processing fees na ukifanya top up unalipa upya bima. Hivi nikiuziwa gari yenye valid bima unalipa upya tena.
  5. S

    Watu wa CAF wanaumia Simba ilivyotolewa kwenye mashindano kwa sababu hii

    Msigwa kasema magoli ya matuta hayana hela ya mama. Mwelewe hivo kolo[emoji38]
  6. S

    Watu wa CAF wanaumia Simba ilivyotolewa kwenye mashindano kwa sababu hii

    Kutolewa kwenye mashindano ya kimataifa kimewawehusha makolo. Sasa njooni mgombee kombe la Azam. Wekeni huko nguvu kubwa kwani ubingwa wa tz pia mmeukosa mfululizo.
  7. S

    Tafadhali Rais Samia, Kikeke apewe Ukurugenzi TBC pengine ataleta mabadiliko

    Huo ni ubaguzi wa kidini. Acha Mtanzania kushabikia huo upuuzi ni hatari kwa Taifa.
  8. S

    Makosa ya Musiba, hayalingani na tamaa ya Membe!

    Kwa hali ya kiimani mtoa mada ukobsahihi. Ila kwa sheria za duniani huko sahihi. Kumkashifu mtu ni kosa kubwa na nizaidi ya hiyo b9. Biblia 1 Wakorintho 13:4 Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni; 1 Wakorintho 13:5 haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo...
  9. S

    KWELI Baadhi ya Dawa za kutibu Malaria zinaweza kusababisha mzio mwilini, ikiwemo Kuchubuka Uume na Midomo

    Hivi bado malaria yapo? Huku nyanda za juu kaskazini mashariki tulishasahau hiyo kitu.
  10. S

    Ukweli Kuhusu Wahafidhina Wanaomnanga Hayati Magufuli

    Ni kweli. Shetani pia anao wafuasi, tusishangae wapendwa.
  11. S

    Mpaka leo najiuliza, ilikuwaje mpaka Magufuli akawa Rais?

    Mhubiri 9:5 kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa. Mhubiri 9:6 Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao, imepotea yote pamoja; wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote lililofanyika...
  12. S

    DC Mstaafu Simon Odunga akosoa vikali jinsi Kumbukumbu ya Hayati Magufuli ilivyofanyika

    Mnajisumbua bure. Mhubiri 9:5 kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa. Mhubiri 9:6 Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao, imepotea yote pamoja; wala hawana sehemu tena katika jambo lo...
Back
Top Bottom