Mkuu wabongo Sisi tunaharibu Sana biashara na wateja wengi ambao hawajui magari wanafikiri milage ndogo ndiyo gari imara.
Ukiona gari ina milage ndogo alafu inauzwa bei rahisi kimbia kabisaa!!!
Afisa mifugo wilayani Handeni mkoani Tanga (Jina lake bado halijafahamika) amefariki dunia baada ya kumgonga ndege aina ya Bundi na pikipiki aliyokuwa akiendesha yenye namba za usajili STM 0232 . Ajali hiyo imetokea asubuhi ya leo Ijumaa, Mei 17 2024 eneo la Sindeni, Handeni jirani na kona ya...
Aliyekuloga amekufa?
Nchi hii Toka lini watu wanachagua MTU wanayemtaka? Nani mwenye uwezo wa kwaondoa CCM Kwa njia ya Kura? Kwa katiba gani unaweza kumchagua MTU unayemtaka? Tanzania tunawekewa viongozi wanaochaguliwa na system na sio wananchi
feyzal hii barabara ingekuwa IPO wilaya kinondoni ingekuwa imejengwa miaka 10 uliyopita,UJINGA kama huu unasababisha tuone ndani ya nchi hii kuna ubaguzi wa maeneo na kikanda.
Eneo lote la mzinga ni hatarishi Sana na barabara ni nyembamba kama ya mtaani, viongozi wa nchi hii ni vipofu wote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.