Elimu ipo itafute kabla ya kuipinga... Then ukirudi baada ya kuipata njoo useme hawa wanasema kwa utafiti wao wa kisayansi mchana na usiku unapatikana hivi na sisi yunasema hivi... hapo nitaamini unaweza kujoji na ukajibiwa kihoja.. hapa umejiandaa kupinga hautaweza kujifunza chochote..
Nipe muda kama iliowapa walimu wako wakufundishe umno la dunia.. mnona simple tuu. Piga hesabu mpaka umeacha kusoma sayansi ya umbo la dunia ulitimia miaka mingapi?
Katika mengi uliyonijibu niishie kukibali hatukubaliani.. na katika hili nikuache na swali..
Elimu uliyonayo juu ya umbo la dunia, ilianza kuipata kwa kuhoji au bila hiyari yako ulijikuta unafundishwa kilazoma?
Vopi kwa hii ya flatealth unalazimisha nikifundishe kwa kinohoji?
Naomba unipe darasa kidogo la namna ndege inavyo adjust altitude ili kufuata curve. maana kwa uelewa wangu ndegge ikishapaa ikapata usawa wa saffari yake kama ni FT 20 atatembea nazo mpaka atakapotaka kushuka sasa hiyo curve inaifuata ndege au ndege inafanyaje ffanyaje ili iwe ina jiudjust...
Ndio..!! Ila kwa wale wenye kuyatafakari maisha hasa katika kutaka kujua Sababu ya Kuzaliwa na Kuishi hapa Duniani ni ipi. Majibu yake yapo kulingana na namna dunia na vilivyomo vinavyoenenda katika ushahihi wake.. ikiwa kuna linalopindishwa maisha tutakayoishi yatakua ni kwa mujibu wa wale...
simple tuu na kama kweli wewe ni mdadisi na mfukunyuzi na unaeweza kujaribu kitu... mi nakupa zoezi dogo tuu ili uweze kuihoji elimu yako na uffahamu wako.
1. chukua mpira wa miguu... uchore mabara yote. Chukua sinia, lichore mabara yote.
2. Kwa kuzingatia center ya mpira ambao tutasema ndio...
Hiyo elimu yako ya phisics na anga uliyoipata je umeipata elimu hiyo katika usawa, yaani ya dunia tambarare na dunia mviringo? au umeipata elimu moja na kuiamini hiyohiyo.?
Elimu ya Dunia tambarare inapatiakana na imeelezea yote yanayoelezewa katika dunia mviringo someni kwanza ndio tuhojiane...
ninachotofautiana na wewe ni sehemu ndogo sana... ndio maana unatumia nguvu kubwa kukosoa hoja na kuweka yaleyale tuliyofundishwa ambayo mimi kwa uelewa wangu nilikua napata utata...
ila nilipobahatika kujifunza na hoja za fflat earth mengi ya yaliyokua yananipa utata yanathibitika kirahisi na...
NDIO..!! kwasababu macho yangu Hayadanganyi... Au una mfano wa kipi tukionacho kilivyo sivyo kilivyo?
KUMBUKA KUNIJIBU..!
Kwakuangalia angani wakati Mwezi ukitembea na wakati Jua ikitembea, Kuna utofauti gani wa mitembeo hiyo hadi tuamini Kimoja Hakitembei?
Na Kwanini Hauamini kua mwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.