Recent content by ndojime

  1. N

    Hebu tupeane Details kuhusu Gari Mazda CX-5 especially hii ya 2014

    Zipo Mazda CX9 za CC 2500. Labda hiyo point ya kutokuwa Compact kama CX5. Model ya kuanzia 2017 muonekano wa CX5 na CX8 na CX9 unafanana kasoro tu urefu ndo unazidiana
  2. N

    Niagize gari Afrika Kusini Vs Japan?

    Kama mileage ni chini ya 20k na ni genuine basi naelewa
  3. N

    Hebu tupeane Details kuhusu Gari Mazda CX-5 especially hii ya 2014

    Imeelezwa kwenye nyuzi kadhaa ila kwa vipande vipande Faida/Pros Zina tech ya kisasa ukilinganisha na bei yake na bei ya gari nyingine za class yake. Zina chasis na body zenye weight ndogo hivyo inasaidia pia hata fuel economy na handling (zinasifiwa kwa handling na uendeshaji) Zina engine...
  4. N

    Hebu tupeane Details kuhusu Gari Mazda CX-5 especially hii ya 2014

    Hizi coding haziendi hivyo mkuu. CX 7 ilishakuwepo kabla ya CX 5. Nadhani hata jamaa amesema ikifikiwa cx9 kwenye mjadala siyo kutolewa
  5. N

    Niagize gari Afrika Kusini Vs Japan?

    Kwa bei za 36m - 38m kwa model za 2013/14 sioni kama zinatofauti na kuagiza Japan. Labda utakachookoa ni muda na labda kama ubora ni tofauti.
  6. N

    Yajue madhara ya kutumia Maji kwenye Radiator [Rejeta]

    Nenda kwa mafundi rejeta, wanamwaga maji kirahisi tu ila nashauri waisafishe vizuri njia pia kuondoa uchafu halafu uanze kutuumia coolant
  7. N

    Mitsubishi Pajero 3.2 LTRs kiboko ya mabishoo

    Yeah Petrol, ndo maana ilikuwa inakimbiwa, inakula wese vizuri tu. Ya diesel ina afadhali
  8. N

    Mitsubishi Pajero 3.2 LTRs kiboko ya mabishoo

    Yako ilikuwa ya diesel au Petrol??
  9. N

    Je, utawala wa IST unafika Kikomo?

    Baadhi ya sifa zake (V8 Model) Ina nzuri na ina nguvu Comfortable Ni nzuri kuendesha Ikizingua ni gharama kuitengeneza (sijui gen ya sasa ila za mwanzo zilikuwa overengineered kidogo) Fuel consumption si nzuri
  10. N

    HATIMAYE: Mazda CX-5 imeingia Top 5 ya gari zinazoingizwa Tanzania kutoka Japan

    Bei ya hii CX-3 si chache labda kama unafanisha na CX -5 za kuanzia 2017
  11. N

    Subaru Forester Vs Mazda CX5

    Nina wasiwasi na ujuzi wako wa hayo magari uliyotaja. Labda hujui vizuri mojawapo au huyajui yote. Na sijui bei ya gari inapimwaje kwa macho
  12. N

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    It appears that #LFC will announce Rodgers will be sacked tomorrow at their press conference at 9:15am BST. Carlo Ancelloti will replace him. Kama ni kweli safi sana
Back
Top Bottom