Recent content by mwanamichakato

  1. mwanamichakato

    Mbunge Elibariki Kingu Ameishauri Serikali Kuiongezea Mkataba wa Kampuni ya Kuzalisha Umeme ya SONGAS

    Serikali ina hisa ktk taasisi na makampuni mbalimbali na imekuwa ikipata gawio..mfano toka CRDB,NMB.. Kwa miaka 20 iliopita ni kiasi gani Serikali imepokea gawio toka SONGAS? Kwa umiriki wa 75% au hizo 40% zilizobaki baada ya watuhumiwa wa majambazi kujimegea zingine Msajiri wa hazina ana...
  2. mwanamichakato

    Ujue kwa ufupi: Mkataba wa Songas na TANESCO unaotarajiwa kufika tamati Julai 2024

    Serikali ina hisa ktk taasisi na makampuni mbalimbali na imekuwa ikipata gawio..mfano toka CRDB,NMB.. Kwa miaka 20 iliopita ni kiasi gani Serikali imepokea gawio toka SONGAS? Kwa umiriki wa 75% au hizo 40% zilizobaki baada ya watuhumiwa wa majambazi kujimegea zingine Msajiri wa hazina ana...
  3. mwanamichakato

    Ujue kwa ufupi: Mkataba wa Songas na TANESCO unaotarajiwa kufika tamati Julai 2024

    Ikiwa stigler/JNPP inazarisha umeme wa kutosha do we still need Songas?
  4. mwanamichakato

    Ujue kwa ufupi: Mkataba wa Songas na TANESCO unaotarajiwa kufika tamati Julai 2024

    Tanzania sio maskini,Watanzania wachache kwa uroho wa fedha na ufisadi wametufanya maskini..Wanaelea kwenye lindi la ukwasi huku maiti zikizuiwa kwa ndugu kukosa fedha za kulipa gharama za matibabu.. Kuna watanzania wachache wanamiriki matirioni ya fedha ndani na nje ya nchi.. Watumishi kwenye...
  5. mwanamichakato

    Amani ya DRC na kesho ya usalama wa Tanzania

    Tutafute ufumbuzi wa kudumu wa hili tatizo ..Kukoseakana amani kwa mmoja wa mwanachama wa Jumuiya zetu ikiwamo SADC,EAC ni kukosekana amani kwetu.. Duniani tunapita..Tutende wema kwa wasio na hatia..Tutende wema kwa wanaoteseka
  6. mwanamichakato

    Nashauri JWTZ ijiongezee majukumu kwa ajili ya Resources za nchi

    Kuna vyeo vyapaswa kuwa vya kikatiba na mchakato wake kuwa wa kikatiba
  7. mwanamichakato

    Nashauri JWTZ ijiongezee majukumu kwa ajili ya Resources za nchi

    Tuna wageni wa nchi jirani wapo kwenye nyadhifa zenye mamlaka ya kufanya maamuzi kwa faida ya nchi zao za asili..Watu wa mataifa ya jirani wamekuwa madalali wa mali zilizoko Tanzania..Inasikitisha sana.. Kiu ya wageni ni kushika hatamu ya nchi kwa faida yao binafsi na mataifa yao ya asili..yapo...
  8. mwanamichakato

    Amani ya DRC na kesho ya usalama wa Tanzania

    Mungu ibariki Afrika na watu wake..Mungu wabariki Viongozi wetu Vita na mauaji vinaendelea Kivu ya Kaskazini,Maelfu ya raia wanauwa kila leo. Biashara na shughuli kuu zote zimedorora. Janga la kibinadamu siku si nyingi yamkini kukawa na mauaji ya haraiki. Waasi wenye nguvu wanapambana kuteka...
  9. mwanamichakato

    Lissu na Muungano wa mchongo, aeleza kutekwa kwa Jumbe

    Siku ya uhuru wa Tanganyika?Tanzania? Sherehe za uhuru! Upi? Mwenge wa uhuru! Upi? Uwanja wa uhuru
  10. mwanamichakato

    Fatma Karume: Tatizo Watanganyika hawajitambui utaifa wao, sisi Zanzibar hatuwezi kufuta utaifa wetu

    ✅NANI ANAFAIDIKA NA MUUNGANO? ✅NINI FAIDA ZA MUUNGANO? ✅KWA NINI TUWE NA MUUNGANO TULIONAO? ✅NINI KIFANYIKE KUUFANYA MUUNGANO KUWA BORA ZAIDI? ✅MAPUNGUFU YA MUUNGANO TUNAYATATUAJE? Wananchi wanapaswa kuelimishwa zaidi kuhusu Muungano wetu kuliko kutishwa ama kufumbwa macho,midomo,masikio..
Back
Top Bottom