Recent content by MWANAKA

  1. M

    Nahitaji mwanaume wa kuzaa nae

    Nipo hapa Baba wa ukweli
  2. M

    Kero ya Mabasi ya Mikoani kuchochea udini

    Toa taarifa 0800110019 au 0800110020
  3. M

    Hapa duniani starehe ziko chache, majanga ndiyo mengi

    Zote mbili zipo na mengine mengi tu
  4. M

    Waziri Ummy: Tanzania yawa miongoni mwa nchi zilizoongoza duniani kwa unywaji wa pombe kali kwa Vijana Umri kati ya Miaka 15-19

    Si vibaya serikali ikaingilia kati kukataza uuzwaji wa haya mapombe makali ili kuepusha shida kwa vijana wetu Matatizo ya figo kwa wananchi yanaongezeka. Kulinda afya za wananchi ni jambo jema Zibakie Serengeti tu na Kilimanjaro 😂😂🤣
  5. M

    Hapa duniani starehe ziko chache, majanga ndiyo mengi

    Peponi BATA zipo za kutosha sana
  6. M

    Angalia nyendo zako usije kuwa deleted

    Mwenyezi Mungu atusaidie tuishi kwa amani Ni mbaya sana kutoa uhai wa binadamu mwenzio
  7. M

    Una Miaka 30+ unafata nini night club?

    Unataka nipeleke wapi kiinua mgongo changu? Pahala sahihi ni hapo
  8. M

    Ucheshi mtakatifu kwenye tasnia ya usafiri wa anga

    Prof hana imani na alichofundisha mwanafunzi wake
  9. M

    Dodoma ni kutamu jamani

    Watoto wa watu hao tafadhari usije sema sikukwambia
  10. M

    Urusi yashambulia vituo vya umeme Ukraine yote giza Ukraine waomba msaada haraka

    Hata ardhi ya Ukraine iwe jivu hawatakubari yaishe kama Zelesky ndo kakalia kiti pale
  11. M

    Urusi yashambulia vituo vya umeme Ukraine yote giza Ukraine waomba msaada haraka

    Natamani Ukraine wapate mzalendo wa kweli mwenye kuijali nchi yake amalize hii vita Chini ya zuzu anayeitwa Zelesky hakuna kusitisha mapigano UN nao ni wale wale suruhisho analo lakini hawezi amua kama ufumbuzi ni kumwacha Russia atawale pale
  12. M

    Urusi yashambulia vituo vya umeme Ukraine yote giza Ukraine waomba msaada haraka

    Zeke sky aliyemweka pale ni Mmarekani sio raisi wa kidemokrasia wa Ukraine
  13. M

    Kocha wa Mamelodi asikitishwa timu yake kukosa support ya mashabiki wa Afrika Kusini

    Sasa wameendelea nini Sauth Africa mbona huwa mnawasifu sifu sana kwamba wameendelea Unakosaje tax SAA 4 kwenye mji mkubwa kama huo Basi hata Mafinga pako juu huwezi kosa daladala za Kinyanambo C saa 4 Hata kama mechi inachezwa Njombe ikiisha SAA 4 huwezi kosa coaster kibao za Iringa mjini...
  14. M

    Kuna sehemu hatari kuishi kama South Africa?

    Mungu na wanadamu Makanisa je yapo Misikiti je ipo Wanasali hawa?
Back
Top Bottom