Miaka takribani kumi iliyopita nilipoteza ndugu ambaye alikuwa ni mhanga wa madawa ya kulevya na kilichotokea ni kuwa aliugua ghafla na alipofika hospitali walimpatia matibabu bila kujua kuwa alikuwa ametoka kutumia madawa ya kulevya Jambo lililopelekea kifo chake. Kama familiya tuliumia mno, na...
Ugonjwa wa UKIMWI sambamba na maambukizi ya VVU kwa dunia ya sasa siyo tishio kubwa sana kama ilivyokuwa miaka ya themanini kipindi ugonjwa huo ulivyoingia. Hii imekuja baada ya ujio wa ARV ambazo kwa kiasi kikubwa zimeweza kusaidia kufubaza VVU na kutoa tumaini jipya la maisha kwa watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.