Wale wafanyakazi wa silent ocean pale godown kwao sokota wahuni sana wanatabia ya kutoboa box la mzigo wanaingiza mkono na kuiba baazi ya vitu mimi imenikuta wameniibia vichwa vya saa, earpods na mikanda ya saa baazi ya mabox
Soma vizuri nilichoandika boss nimesema nilianza kwa kiagiza 10 pieces alibaba kuna baadhi ya supplier wanauza kuanzia pieces 2 na kuendelea so kwa biashara kama ataagiza kuanzia pieces 10 atapata faida
Mimi nilianza na mtaji wa 200k nilianza na 10 pieces za bidhaa fulani sasa hivi mtaji wangu umefika 2M
Nenda alibaba angalia bidhaa ambayo kwa piece 1 thamani yake kuanzia elfu 4 hadi elfu 12 hakikisha bakiza pesa inayokatwa na alibaba na MasterCard bila kusahau shipping fee
Mimi ni mwanaume nina allergy na vitu vyenye harufu kali, mimoshi ya sigara na vumbi napenda sana kujipulizia perfume lakini zinanishinda naishia kupata mafua makali
Je, perfume ipi ambayo imepoa itafaa kwa matumizi yangu bila kuniletea shida ya mafua makali bajeti yangu isizidi 30,000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.