Recent content by Michael mbano

  1. Michael mbano

    Naomba mnifahamishe vigezo vinavyopaswa ili mtu ateuliwe kuwa kiongozi wa mbio mwenge?

    Habari.Naomba kufahamu ni vigezo gani hutumika kumpata kiongozi wa mbio za mwenge?
  2. Michael mbano

    Geita: Mwanaume ang'ang'aniana na mke wa mtu wakiwa gesti

    laah hapa nashindwa hata kusema pole mana!
  3. Michael mbano

    Dawa ya Vumbi la Kongo 'hensha' yapigwa marufuku Tanzania

    kwa mujibu wa maelezo ni kama dawa ilikuwa kwa matumizi mengine ambayo hayajatajwa,ila tatizo limekuja kwakuwa ndani yake kuna mchanganyo wa nguvu za kiume.Napongeza sana hatua hii wanaume legelege mlikwisha lemaa na hi cjuw mtaenda kwenye za kichina au kihindi?
  4. Michael mbano

    Kuna siri gani usiku wa manane?

    Siri ni kuwapunguzia msongo waliwao vichwa.
  5. Michael mbano

    Ni marufuku kufanya biashara ndani ya bus na kufanya mahubiri

    safi ifike wakati hata mabasi ya wilaya kwa wilaya yawe na mahala rasmi kusimama kupata maji na chakula abiria.Na hawa wahubiri huanza hivyo then wanatangaza biashara.
  6. Michael mbano

    Wizi mpya waibuka

    unatumaje hela kibwege?Wengne hujifanya watu wa kazi fulan na kujifanya wanataka kukutumia zawad kama laptop,kamera nk na kutaka full your details na location il wakutumiye huo ndiyo mwanzo wa kukuingiza kingi.
  7. Michael mbano

    TAHADHARI: Nimeshtushwa kwa viashiria vya ushoga mashuleni

    mnisaidiye kuelewa ndg rangi zinamadhara gani?.Upind huo pia huonekana kwenye wingu ambao haujaweka na binadam nao unaashiria ushoga?Mana kec naona rangi.
  8. Michael mbano

    Tukiendelea hivi Majeshi yetu yataendelea kushuka ubora

    kama kuna rushwa ktk kuwapitisha vijana ktk sekta nyeti kama hizo nashauri ikome mana tunaharibu.Mim ni mhanga ktk hilo ila nilipenda sana toka moyoni c kwa dhiki ya kazi lakini nikakosa.
  9. Michael mbano

    Sungusungu wapigwa marufuku kupiga wananchi

    sawa wafate sheria c uonevu.
Back
Top Bottom