Habari wakubwa,
Mdogo wangu meno yake mawili ya mbele ni marefu kuliko mengine.
Anahitaji kufanya root canal ili yawe vizuri.
Ni hospitali gani nzuri kwa hii huduma na gharama zina range kwenye ngapi?
Vijana wa kitanzania wanao hitaji kwenda nje ya nchi kwa scholarships kuna kitabu kizuri nimekiandaa kwaajili yao.
Ni kwa kozi zote iwe mafuta na gesi au kozi zingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.