Wewe unayetaka kumpa somo JK tuambie uzoefu wako kwenye mambo ya siasa, diplomasia, serikali nk
JK ni mwanajeshi, mwanadiplomasia, mwanasiasa, mbunge wa zamani na waziri wa zamani , rais mstaafu
Naomba na wewe uweke wasifu wako tuwalinganishe halafu utaendelea kumpa somo mzee mwenzako
Tutajie kampuni mbadala ambayo itaweza kufanya kazi kwa ufanisi zaidi ukitupa na analysis ya benefits tutakazopata kwa comparison kati ya hiyo yako na DP ili twende sawa usiwe kama watoa matamko wengine.
1. Kuna vile vibao vya kuonesha gari inaenda wapi kwanini vinaandikwa kwa mkono ilihali haya magari yanakuja na system nzuri ya maandishi ya ki electroniki? havipendezi na vinakaa kama uchafu. Kama mmeshaharibu zile system naomba watafute wachoraji wazuri wa vibao wachore vya kupendeza
2. Ubovu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.