Recent content by mama D

  1. mama D

    Wimbo wa Isabela Kombo Mungu ni mmoja wazua gumzo

    Dah kumbe hata biblia hujasoma!! Yesu ni Mungu
  2. mama D

    Wimbo wa Isabela Kombo Mungu ni mmoja wazua gumzo

    Mungu ni mmoja tuu Yesu ni Mungu Kutoka 3 13 Musa akamwambia Mungu, Tazama, nitakapofika kwa wana wa Israeli, na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu; nao wakaniuliza, Jina lake n'nani? Niwaambie nini? 14 Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO;akasema,Ndivyo utakavyowaambia wana...
  3. mama D

    Wimbo wa Isabela Kombo Mungu ni mmoja wazua gumzo

    Wewe usiyeamini hata nikithibitisha utaamini unachoamini Atajidhirisha kwako punde
  4. mama D

    Wimbo wa Isabela Kombo Mungu ni mmoja wazua gumzo

    Isaya 41 4 Ni nani aliyetenda na kufanya jambo hilo, aviitaye vizazi tangu mwanzo? Mimi, Bwana, wa kwanza na wa mwisho, mimi ndiye. YESU NI MUNGU Tito 2 13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; Mathayo 4 5 Kisha Ibilisi...
  5. mama D

    Wimbo wa Isabela Kombo Mungu ni mmoja wazua gumzo

    Yohana 8 52 Basi Wayahudi wakamwambia, Sasa tumeng'amua ya kuwa una pepo. Ibrahimu amekufa, na manabii wamekufa; nawe wasema, Mtu akilishika neno langu, hataonja mauti milele. 53 Wewe u mkuu kuliko baba yetu Ibrahimu, ambaye amekufa? Nao manabii wamekufa. Wajifanya u nani? 56 Ibrahimu, baba...
  6. mama D

    Wimbo wa Isabela Kombo Mungu ni mmoja wazua gumzo

    Kwangu Mungu ni dhahiri Ombi lako limefika na atajidhihirisha kwako Kabla hujaiacha Dunia Ukumhuke kuleta mrejesho hapa
  7. mama D

    Wimbo wa Isabela Kombo Mungu ni mmoja wazua gumzo

    Mungu ni mmoja tuu Yesu ni mungu Kama unaamini Mungu yupo kasome maandiko
  8. mama D

    Wimbo wa Isabela Kombo Mungu ni mmoja wazua gumzo

    2 Wakorintho 6 14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza? 15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini...
  9. mama D

    Wimbo wa Isabela Kombo Mungu ni mmoja wazua gumzo

    Hujui unachotaka kuuliza
  10. mama D

    Wimbo wa Isabela Kombo Mungu ni mmoja wazua gumzo

    Zaburi 53:1 Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wametenda uovu wa ufisadi na kuchukiza, Hakuna atendaye mema.
  11. mama D

    Wimbo wa Isabela Kombo Mungu ni mmoja wazua gumzo

    Yohana 1 1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. 2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu. 3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika. 4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu. 5...
  12. mama D

    Wimbo wa Isabela Kombo Mungu ni mmoja wazua gumzo

    Naomba andiko linaloelezea Utatu mtakatifu
  13. mama D

    Wimbo wa Isabela Kombo Mungu ni mmoja wazua gumzo

    Mungu ni mmoja tuu Yesu ni Mungu
  14. mama D

    Ghafla Mawaziri wameibuka na kuanza kumwagia Sifa Rais Samia

    Wamegundua walikua wanatoboa mtumbwi uliowabeba tena katikati ya bahari Wameanza kujielewa
  15. mama D

    Watanzania tuelewe nafasi ya Rais kama Kiongozi wa nchi na tumheshimu Rais Samia Suluhu Hasani

    Pole kwa jazba Kwanza jiulize ilikuaje mama yako kikongwe akabaki akilima kijijini au ndio shule ilimkataa zamani nae akaikataa?? Maana hata Rais hakuzaliwa Ikulu, alitokea hukoooo kijiji cha Kizimkazi
Back
Top Bottom