Recent content by Madumbikaya

  1. Madumbikaya

    Wakinga wameamua kupambana, maneno yameanza kama ilivyo desturi ya Waswahili

    Acha uhuni wewe,Yule mtoto wake wa mwanza ni mlokole na sio mganga Alikuwa mfanyabiashara Songea na Mbinga,Duka lake lilikuwa Mbinga Mimi nimekaa hapo kwa Mwakipande sana tu Kama ni mzoefu wa huko ,unachukua boda boda tu mpaka kwa Mwakipande toka pale Ikonda
  2. Madumbikaya

    Anayeijua vizuri Shooters ya Mtwara

    Mimi sio wa huko
  3. Madumbikaya

    Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Julius Mtatiro ameripoti kwenye kituo chake kipya cha kazi Shinyanga

    Mbona alikuwa waziri mkuu udsm. Wao na akina Silinde na odong odwar plus Bush ndio walileta migomo na changes kwenye bodi ya mikopo ya sasa Mkuu sio kila mtu haifahamu udsm, Ondoa ujinga wako hapa
  4. Madumbikaya

    Mnataka kumbebesha Hayati Magufuli madhambi yenu?

    Summarize uandishi wako,Unaandika maneno mengi mno hueleweki lengo lako? Jaribu kupangilia lengo kuu mwanzo mwa uzi wako Mara unaitwa Sukuma Gang Mara 2010 damu zilimwagika sana Mara JPM 2015 kwani aliharibu uchaguzi Mara Makamba Je ataachia jimbo la bumbuli Ulimwengu wa sasa unahitaji...
  5. Madumbikaya

    Simu za Google Pixel zina shida gani?

    Hakuna simu original china Plaza,Hizo zote zimetumika na kuchezewa huko Dubai Angalia vizuri storage za simu za china plaza Ni refurb zote
  6. Madumbikaya

    FT: Simba SC 1-2 Tanzania Prisons | NBC Premier League | Jamhuri Stadium | 06.03.2024

    Simba hakuna timu pale,Wakikutana na Yanga kwa mpira huu watakula hata kumi Simba mpaka uchawi
  7. Madumbikaya

    Baba mweupe Mama mweupe watoto weusi kitaalamu inakaaje?

    Hapo ujue umepigwa na kitu kizito.umeibiwa Mchunguze mkeo labda kama weupe wake ni wa mchongo,Pengine mkeo sio mweupe ila alijichubua enzi zake kwa kunywa madawa ya kubadili rangi Muungalie vizuri miguuni hana weuse kwenye ugoko au mikononi,Wanawake wengi wanajichubua Ulizia vizuri...
  8. Madumbikaya

    Vituo vya Chapati na Mihogo ya kukaanga ndiyo uchumi mpya wa Dar es Salaam?

    Tatizo matumizi ya sponji na nailoni mkuu Wanageuza chapati kwa kutumia vipande vya godoro ambavyo vinashikamana na chapati Maana yake watu wanakula visponji
  9. Madumbikaya

    Dkt. Hussein Mwinyi adai Mzee Mwinyi hakuagiza azikwe Mkuranga

    Bado una Emotion ,Punguza preasure Tatizo lako unataka mawazo yako unayowaza ndio yawe mawazo ya wengine Mara nyingi watu wasiojiamini kama wewe huwa wanakimbilia kulazimisha hoja moja yenye mapungufu na kuacha maana halisi ya mjadala Hakuna logic unayotoa ,Hata Rais Mwinyi hajathibitisha...
  10. Madumbikaya

    Kwanini Kwaresma inaonekana haina uzito kuliko Ramadhani?

    Unajiita Mkristo wakati wakatoliki wao ndio waanzilishi wa ukristo mpaka Biblia wameandika wao Sasa unabishana na mkatoliki aliyeandika biblia na kuisambaza Bibilia yenyewe ni kubwa sana , Watu walipokimbia katoliki akina Martin luther wakapunguza vitabu Acha kuchekesha watu mkuu?
Back
Top Bottom