Nahitaji kukata Bima ya Afya kwa ajili ya watoto, nahitaji Bima ya kulipia ila sijui taratibu za kuipata naomba msaada kwa mwenye kufahamu zaidi namna gani naweza kupata natakiwa niwe na vitu gani ili kuwakatia Bima watoto.
Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.