Wewe nawe kichwa Kina shida, majumba yako wapi wakati unamuona dalali anahangaika kulitafutia wateja Hilo eneo. Yaani video zako ni za madalali tu halafu unasema eti Kuna majumba.
Kwanza apartments hatukumalizana mnaruka ruka tu, haya leteni na hotel ila kama ni Dodoma peke yake Bora muache tu, ongezeni za mbeya, njombe na songea.
Umeanza kupagawa hapo ni the Ryan's bay. Mwanza Ina vitu vingi mno tatizo mmepewa hadhi ya Jiji kisiasa basi mkavimba vichwa kwa projects za serikali na taasisi zake
Waongezee
° antelope hotel
° hadjens hotel
°holmand and tours hotel
° mipa hotel
°tilapia hotel
° la kairo hotel
° monarchy hotel
° the lahe hotels
°victoria palace hotel
°G&G hotel
° vizano hotel
° n.k
Hebu fikiria kwa mapana neno uloandika ........sio home of great pictures.......
Hapa unajiita una akili. Tafakari kwa kina utuambie unamaanisha Nini?. U get the picture? 😁.
Fact zako ni zipi kwa mfano mbona kama hujasoma au ulipiga ada ya mzazi ukaambulia GPA ya 1.5?. Sikuelewi ni fact zipi unamaanisha. Kuorodhesha hotel za Dodoma ndo facts kwako?. Hemu kwanza usipende kujiita Mzee wa facts, u don't deserve.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.