Kuna ndugu yangu wa karibu alinunua hisa za kampuni inaitwa JATU wakijinasibu kuwalimia watu na kuwauzia mazao yao wao wasubiri faida tu.
Kilichotokea hisa wamenunua mazao wameuza kampuni imesema haina uwezo wa kulipa kila mkulima hela kulingana na mazao walioyouza.
Wakati huo huo wanasema...
Habari wadau,natafuta mtu anaejua namna ya kupata ufadhili au mfadhili wa ndani au nje ya nchi. Nina taasisi imesajiliwa kutoa elimu nje ya mfumo RASMI pamoja na mafunzo ya ufundi. Changamoto ninazopitia ni gharama za kuendesha sijawaipata ufadhili wowote. Ivo kama kuna mdau anaweza kunisaidia...
Dini ni kwa mataira tu,waliozaliwa na ubongo timamu hawana dini na ikitokea mwenye akili ana dini basi jua kuna miradi anataka kufanya kupitia iyo dini.
Ukiona kila sehemu unayoenda inanuka kinyesi, basi jikague kwenye boxer inawezekana umejinyea bila taharifa. Ungekua na akili ungejiuliza kwa nn hospital zaidi ya 10 ziwe na shida inayofanana? Changamoto ni khali ya uchumi ni mbovu kwa wateja not managements.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.