Tunatafuta vijana waaminifu na wachapakazi ambao watakuwa tayari kufanya kazi Dar es Salaam, Dodoma na Arusha.
Ambaye yupo tayari kufanya kazi kwenye timu yetu ya Sales and Marketing anakaribishwa kutuma maombi.
Vigezo:
Awe na umri usiozidi miaka 34.
Awe na uwezo wa kuongea na kuandika lugha...
Aslay mwaka ulioisha haukuwa mzuri sana kwake, ni kama amefika sehemu amegota aendi mbele wala harudi nyuma. Akijipanga upya akubali kupinduka kidogo atatisha sana next year.
Mwaka 2018 ndio unaishia hivyo na kwenye kiwanda cha burudani haswa bongofleva tumeshuudia mengi yakukumbukwa.
Kikubwa zaidi ni msanii Harmonize kufanya maajabu na singo yake KwaNgwaru, hakuna atakaebisha Kwangwaru imekuwa ni wimbo bora kabisa kwa Tanzania na East Africa na Harmonize amegeuka...
Kwa wasiomfahamu Marombosso ni kijana hapo kwenye video, ambae alikuwa miongoni mwa wanaounda Yamoto band.
Kwa sasa ametoka kupitia WCB.
Wakati yupo Yamoto walikuwa wanachuana vikali na Aslay na inasemekana ni moja ya sababu kundi kuvunjika ni hivi vipaji viwili.
Kwa kutazama muono wa mbali...
Walk on water kwa mara ya kwanza inawakutanisha Eminem na Beyonce kwenye wimbo.
Kinanda kinachosikika amepiga Skyler Grey singer na songwriter ambaye pia aliandika chorus ya love the way you lie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.