Recent content by Erisha

  1. Erisha

    Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

    Mkuu unaua! [emoji1][emoji1][emoji1] Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
  2. Erisha

    Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020

    Majina yao haya hapa! Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
  3. Erisha

    Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020

    Nimepewa jina mojamoja, na nimeambiwa huyo wa 3 ni mwanamke na huyo Mtega ni wa Chimala Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
  4. Erisha

    Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020

    Mbarali Mwakabwanga 266 Mtega 157 Msigwa 125 Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
  5. Erisha

    Vifaa vyote vya simu jumla na rejareja

    Weka mawasiliano mkuu!
  6. Erisha

    Vifaa vyote vya simu jumla na rejareja

    Bado mkuu, ila nimetoka kidogo nikirudi nitakutafuta.
  7. Erisha

    Smartphone inauzwa Tsh.40000/= tu

    Vipi mkuu, simu bado ipo?
  8. Erisha

    Vifaa vyote vya simu jumla na rejareja

    Battery ya Samsung s2 OG bei gani?
  9. Erisha

    Nauza Nokia C3-00

    30000/=
  10. Erisha

    Kariakoo software tuna unlock na kutengeneza simu za aina zote

    Hamna namba wala maelezo zaidi, ok huawey y330 bei gani?
  11. Erisha

    Kama haya Mauaji ni kweli, Waziri Mwigulu, na IGP Mangu Walipaswa Kutumbuliwa Tangu Ile Ile Jana!

    Nimeshuhudia mwenyewe polisi juzi wakienda eneo la tukio na jana wakiwa wamebeba mwili wa marehemu kutoka hospitali ya wilaya kwenda kuzika kata ya songwe! Kiujumla mamlaka zote zina taarifa ila linazimwa sababu ya maslahi!
  12. Erisha

    Kama haya Mauaji ni kweli, Waziri Mwigulu, na IGP Mangu Walipaswa Kutumbuliwa Tangu Ile Ile Jana!

    Ikumbukwe pia kuwa walinzi wa huyu ndugu na mwaka jana pia waliua kijana aliyekuwa mpita njia na kusababisha machafuko makubwa sana na wananchi wa ubaruku na wakati wa kampeni za ubunge pia ndugu mwingine wa mbunge aligonga mtu na kuua wakati anarudi nyumbani kutoka kwenye kampeni na inasemekana...
Back
Top Bottom