Recent content by Edsger wybe Dijkstra

  1. Edsger wybe Dijkstra

    TAMISEMI wapo kimya suala la ajira za Ualimu na Afya

    Chizi kweli ww zumbukukuku,yani watu wanaukumbia ualimu wewe unaukimbiliak.kenge kabsa
  2. Edsger wybe Dijkstra

    Nanunua nguo kila ninapokutana na machinga hata kama sizihitaji, nifanyeje kuondokana na tabia hii?

    Shukuru mungu una pesa ya kununua nguo kila unapokutana na machinga,wenzako walimu hawakumbuki ata mara ya mwisho wamenunu nguo ata ya mtumba ni lini.yani wamechoka mbaya wanavaa madaso tu
  3. Edsger wybe Dijkstra

    Amri ya sita (Usizini)

    Walimu wamezidi kuendekeza ngono mpk wanafanya na wanafunzi. Nashauri walimu wachongewe chupi za chuma zenye komeo kwa mbele la kuwekea kufuli.funguo akae nazo afisa elimu .
  4. Edsger wybe Dijkstra

    Wanaume wa Kitanzania mnaniangusha kupanga foleni na kugombania nyama za bure. Mbona mahindi ya virutubisho mliyakataa?

    Sasa mkuu ulitaka hao walimu wafanyeje wakati wamepigika kweli kweli hawana ata mia mbovu? Ebu jifunze kuwahurumia walimu bwana
  5. Edsger wybe Dijkstra

    Wafuatao wamefunga ndoa na umaskini. Na ni ngumu ndoa zao kuvunjika

    Umesahau na hili kundi " wanaotumia fedha kusomesha watoto ili waje wawe walimu" Yani hawa kenge wameweka agano na umaskini mpk mbinguni.
  6. Edsger wybe Dijkstra

    Wafuatao wamefunga ndoa na umaskini. Na ni ngumu ndoa zao kuvunjika

    Umesahau na hili kundi " wanaotumia fedha kusomesha watoto ili waje wawe walimu" Yani hawa kenge wameweka agano na umaskini mpk mbinguni.
  7. Edsger wybe Dijkstra

    Wafuatao wamefunga ndoa na umaskini. Na ni ngumu ndoa zao kuvunjika

    Umesahau na hili kundi " wanaotumia fedha kusomesha watoto ili waje wawe walimu" Yani hawa kenge wameweka agano na umaskini mpk mbinguni.
  8. Edsger wybe Dijkstra

    Niko Kigoma, kweli sura siyo roho

    Mkuu naskia huko kigoma walimu wamepigika kweli kweli hawana hili wala lile vichwa vimejaa vumbi
  9. Edsger wybe Dijkstra

    Hii tabia ya kuingia kwe nyumba cha ATM na watoto wadogo miaka 4 hadi 12, sio mapenzi kwa mtoto ina madhara yake

    Hii kitu nadhani inawaathiri watoto ambao wazazi wao ni watumishi katika profession zingine ila sio walimu maana walimu pesa hawana , atm kwenda labda mara moja kwa mwaka. Na shida ndio nyumbani kwa walimu na familia zao.
  10. Edsger wybe Dijkstra

    Hii tabia ya kuingia kwe nyumba cha ATM na watoto wadogo miaka 4 hadi 12, sio mapenzi kwa mtoto ina madhara yake

    Hii kitu nadhani inawaathiri watoto ambao wazazi wao ni watumishi katika profession zingine ila sio walimu maana walimu pesa hawana , atm kwenda labda mara moja kwa mwaka. Na shida ndio nyumbani kwa walimu na familia zao.
  11. Edsger wybe Dijkstra

    Kama ambavyo aliachana na wana wa Israel, huenda Mungu alishaachana na sisi

    Hii yote ni laana ilioletelezwa na tabia mbaya ya walimu kubaka ,kuwalawiti na kuwapa mimba watoto
  12. Edsger wybe Dijkstra

    Tangazo: Fursa ya Safari ya China kwa Siku 15!

    Mkuu hii trip ungetafuta watu wengine uwatangszie sio umu jf palimojaa walimu ambao ni choka mbaya.ela ya chai hawana ijekua ya kwenda china
  13. Edsger wybe Dijkstra

    Ukitumia internet vizuri kufanya utafiti wako binafsi utagundua Uchawi haupo. Hakuna mganga wala nabii atakayekutapeli. Wajinga ndio waliwao

    Walimu ni ma goi goi ndio maana wamefurika kwenye mikutano ya injili kutafuta miujiza ambayo haipo.walimu bwana, ma kenge kweli kweli
Back
Top Bottom