Huu muucik una password, daah kweli kiumbe chenye mbunye Ni hatari sana. Embu fikiri una Pesa ndefu kama diddy afu kimanzi kimoja tu kinakuchanganya akili ... Mpaka unapandwa na mahasira.
Huu mchezo hauhitaji hasira.. Za chini chini Ni kwamba Kuna kampun kubwa la vinywaji ndio lipo nyuma ya...
Malaika, viumbe wa mbinguni wanahitaji kufanya maboresho ya haraka sana ili kuweza kuwakabili waovu wa hii dunia pale watakapokuja na bwana. Malaika wamekuwa wakitumia Mapanga kama silaha yao kuu, lakini tangia waondoke zamani hizo mwanadamu kwa kutumia werevu wake katengeneza silaha kali sana...
Ni watawala wenye ufinyu wa mawazo utakuta waipigia upatu tusitishe kuchukua mitumba.
Mitumba tunahitaji sana hasa nchi zetu za huku kusini, mtumba high grade unatufanya na sisi tuonekane watu mwana, sasa wee unataka kunivalisha libatiki mkono mmoja mnene mwingine mwembamba mimi ili iweje...
Weeeeeeh ngoja nikuibie SIRI binadamu vibonge wote unaowaona wenye matumbo makubwa na mavichwa kama ng'ombe wakifa roho zao zinarudi kama nguruwe!
Inshort kadiri siku zinavyozidi kusonga na ndivyo navyozidi kuamini, kwamba yule mdudu ni binadamu!
Macho ya binadamu
Damu ya binadamu
Figo ya...
Bro uko vizuri, lakini hichi ulichosema ndio cha kuogopa zaidi kwa mataifa ambayo raia hatujawahi pata mikiki ya vita. Ukweli ni kwamba developed country ni nchi zinazopenda usawa, zinazolinda maslahi ya mnyonge sasa endapo wakifutikaa baada ya vita kuna mambo yatafwata. Mojawapo ni Kama kuenea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.