II. TAA ZA KWENYE DASHBOARD
1. Battery Light:
Taa hii inaashiria kuwa kuna tatizo kwenye mfumo wa betri. Inaweza kuwa ishara ya betri dhaifu, alternator isiyofanya kazi vizuri, au matatizo mengine ya umeme
2. Oil Pressure Light: Taa hii inaweza kumaanisha shinikizo la mafuta katika injini...
01: Misfire
Hii inatokea kwenye magari mengi kwa sababu mbalimbali.
Kabla hujafungulishwa engine ukapigwa mpunga mrefu kwasababu ya changamoto hii jiridhishe kwanza kwa kufanya diagnostics na kukagua kwa msaada wa fundi mwaminifu kwenye vipengele tajwa hapa chini.
I. Mass Air_flow sensor...
Sa nan kakwambia umfate fundi wa namna hio kama sio huna hela. Au fanya nenda wheny companies kama toyota workshops ukiwakuta wa hovyo nipo pale. Mnaenda kwa mafund wa mchongo hana hata chet cha veta automotive au automobile na unaexpect good service. [emoji706]
Hadhi ya company na yenye vifaa vyote modern ninavyohitaji pia kila kitu kipatikane kwa wakati tena nifanye kazi kwa uhuru. Hapo kazi nachukua mshahara uwe medium.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.