Mwandishi:Safari Afrika
Mfu Afrika na uhuru Bandia, Nasikia huna raha maana machungu umezoa, umechoka kulia na kushoto unaelekea, jua limekuchwa na kivuli chako katu hakikusogea.
Afrika uliye...
Uwajibikaji ni maana ya ule wajibu wa kuhakikisha kuwa watumishi wa umma na viongozi wanawajibika kwa vitendo na wanawajibika kwa matendo yao kwa watu wanaowahudumia. Uwajibikaji umekuwa ni muhimu...
Uwezo wa serikali wa kulinda haki-za-binadamu ipasavyo unategemea kutegemeana kwa nguvu na taasisi za kidemokrasia zinazowajibika, mifumo jumuishi na ya uwazi ya kufanya maamuzi, na mahakama huru...
Habari!
Kuna vitu lazima kupitisha msumeno katikati , maumivu yatokee ndipo yaje matokeo change.
Ili kuondoa tatizo la watoto wanaokosa malezi ya wazazi wetu ni wakati sasa kuweka msumari...
Habari jukwaa,
Dunia ina mabara saba ambayo yameruhusu watu kuweka maskani yao, hapo tunamzungumzia bara la Asia, Afrika, Ulaya, Australia, Amerika ya kusini, Amerika ya Kaskazini pamoja na...
Naitwa Bonte ni tembo ninayeishi kwenye hifadhi ya taifa ya Serengeti, Tanzania, ni miaka kumi sasa tangu mama na baba yangu walipoteza maisha mara baada ya kuingia kwenye mtego uliotegwa na...
Mbinu za Kuwavuta Watu kwa Shetani kwa Kutumia Nyimbo za Kidini Zenye Midundo ya Shetani
Utangulizi:
Katika ulimwengu wetu wa kisasa, kumekuwa na kuibuka kwa kundi la watu wanaotumia mbinu...
SALAMU ZANGU ZA DHATI ZIWAFIKIE WATU WASIOJULIKANA POPOTE PALE WALIPO
kweli maisha ni fumbo la kipekee ,Kama mapigo ya moyo,yaliyojaa hekaheka. Wakati fulani unaanguka kwenye shimo la giza ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.