Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tanzania kwisha habari yake. Utu umetoweka, watu wanatama i watu wafe ili wabakie madarakani. Huu wimbo unaoimbwa na CCM hakuna kiongozi yoyote wa chama au Serali aliyekemea. “WAPINZANI WAKIFA...
1 Reactions
39 Replies
730 Views
Wakuu, Leo ndio ile siku inasubiriwa kuona nini kitatokea baada ya Lissu kusomewa mashtaka yake manne ikiwemo kosa la Uhaini ambalo halina dhamana na kesi hiyo kusogezwa mpaka leo Aprili 24...
1 Reactions
3 Replies
75 Views
Sanaa ni Chochote, Popote Muda wote. Sanaa ni vile unavyoiumba, kuifinyanga, kuisema, kuichonga, kuipamba, kuibuni, kuiandika.. Sanaa imebeba Roho Uhai Uhalisia Ukweli Nafsi Sanaa ni Fumbo Ni...
2 Reactions
16 Replies
119 Views
Wakuu, Kuna kitu sio cha kawaida ninapitia, Siku hizi JF haikidhi mahitaji yangu ya habari, burudani na maarifa. Miaka michache nyuma JF ilikuwa kila kitu. Mijadala ya kuvutia, kisima cha maarifa...
47 Reactions
136 Replies
2K Views
Vipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.
38 Reactions
3K Replies
137K Views
Nimepatwa na mshangao kwa kukuta kila sehemu ya makutano na taa katikati ya jiji la Dar es Salaam ikiwa na magari mawili hadi matatu ya Jeshi la Polisi ambayo yamewasha double hazard na askari...
10 Reactions
52 Replies
1K Views
Si mara moja wala mbili kumuona Jakaya Kikwete akipewa majukumu ambayo yangeweza kufanywa na waziri wa. mambo ya nchi za nje kama kumpigia kampeni daktari Janaba na mwanae kuteuliwa uwaziri japo...
4 Reactions
41 Replies
766 Views
Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kuingia madarakani mwaka 2021 na kuombwa sana na Wanachadema na makundi mbalimbali kwenye jamii kuhusu kufutiwa kesi ya Ugaidi iliyokuwa inamkabili Mh Freeman...
0 Reactions
50 Replies
1K Views
Wajuzi na wanazi wa vikokotoo karibuni muoneshe umwamba wenu hapa.. Kila siku kutakuwa na challenge mpya anuwai
20 Reactions
654 Replies
6K Views

FORUM STATS

Threads
1,962,130
Posts
52,911,250
Back
Top Bottom