DOKEZO Watumishi wa Hospitali ya Mbagala Zakhem hawajali wagonjwa na wana huduma mbovu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Hospitali ya Mbagala Zakhem iliyopo Mbagala Dar es Salaam imekuwa kama ni sehemu ya kuwamaliza Watu, kuna mifano mingi tu kuhusu huduma zao kutokuwa na kiwango kizuri na hivyo kuwaathiri wengi.

Mfano kuna Mtoto wa ndugu yangu mwenye umri wa Mwaka Mmoja na Nusu, alikuwa anasumbuliwa na Degedege, pia Mtoto wa jirani yangu naye alikuwa anasumbuliwa na Upungufu wa Damu ingawa huyu ni mkubwa kama umri wa miaka 17 hivi.

Walipofikishwa hospitali hapo kupata huduma, Manesi na Madaktari hawapo care kabisa kwa kuwa wanajua mwisho wa Mwezi wataingiziwa tu kodi yetu ili wazitafune.

Ukijaribu kuwauliza kitu Watumishi wa hapo kuhusu huduma zao wanakwambia usiwafundishe kazi na wanakuwa wakali kuliko Simba mwenye njaa.
 
Hapo sitaki hata kupasikia, wanapenda rushwa hasa kwa wamama wanaotaka kujifungua, utaskia kanunue mkasi, groves, pamba nk, ukitaka kwenda kununua wanakwambia leta hela kila kitu utapata
 
Hospitali ya Mbagala Zakhem iliyopo Mbagala Dar es Salaam imekuwa kama ni sehemu ya kuwamaliza Watu, kuna mifano mingi tu kuhusu huduma zao kutokuwa na kiwango kizuri na hivyo kuwaathiri wengi.

Mfano kuna Mtoto wa ndugu yangu mwenye umri wa Mwaka Mmoja na Nusu, alikuwa anasumbuliwa na Degedege, pia Mtoto wa jirani yangu naye alikuwa anasumbuliwa na Upungufu wa Damu ingawa huyu ni mkubwa kama umri wa miaka 17 hivi.

Walipofikishwa hospitali hapo kupata huduma, Manesi na Madaktari hawapo care kabisa kwa kuwa wanajua mwisho wa Mwezi wataingiziwa tu kodi yetu ili wazitafune.

Ukijaribu kuwauliza kitu Watumishi wa hapo kuhusu huduma zao wanakwambia usiwafundishe kazi na wanakuwa wakali kuliko Simba mwenye njaa.
Kwenye malango mkubwa wa kuingia mapokezi kuna namba za kupiga kutoa malalamiko yko.
Kuna Namba ya, Mganga mkuu, Matroni. Ukipiga hzo namba unapata msaada wa haraka sana.

Mimi huwa napiga simu kuanzia kwa Mganga mkuu had kwa Waziri mwenye Dhamana.
Watanzania tujifunze kujisimamia na kujipambania wenyewe sio kulalamika tu.

Namba za viongozi wetu na watenda kazi wa Taasisi zote zpo kwenye Mtandao. Sema asilimia kubwa tunatafuta Umbea tu.

Tanzania tubadilike
 
Kwenye malango mkubwa wa kuingia mapokezi kuna namba za kupiga kutoa malalamiko yko.
Kuna Namba ya
Mganga mkuu
Matroni
Ukipiga hzo namba unapata msaada wa haraka sana
Swali kubwa ni nani aliwahi kuzitumia akapokelewa vyema? je tuna huo utamaduni wa kufwata mifumo ya kudai haki zetu kila zinapopindishwa? au ndio tunakuwa wakulalamika bila ya kupitia hizo sehemu husika kwanza? tujiulize na tukipata jibu tutapata pakuanzuia.
 
Hospitali ya Mbagala Zakhem iliyopo Mbagala Dar es Salaam imekuwa kama ni sehemu ya kuwamaliza Watu, kuna mifano mingi tu kuhusu huduma zao kutokuwa na kiwango kizuri na hivyo kuwaathiri wengi.

Mfano kuna Mtoto wa ndugu yangu mwenye umri wa Mwaka Mmoja na Nusu, alikuwa anasumbuliwa na Degedege, pia Mtoto wa jirani yangu naye alikuwa anasumbuliwa na Upungufu wa Damu ingawa huyu ni mkubwa kama umri wa miaka 17 hivi.

Walipofikishwa hospitali hapo kupata huduma, Manesi na Madaktari hawapo care kabisa kwa kuwa wanajua mwisho wa Mwezi wataingiziwa tu kodi yetu ili wazitafune.

Ukijaribu kuwauliza kitu Watumishi wa hapo kuhusu huduma zao wanakwambia usiwafundishe kazi na wanakuwa wakali kuliko Simba mwenye njaa.
Braza tatizo una mkono wa birika.

Watumishi wengi wa kibongo mkuu njaa kali

Kama huwaungii na wao wanakuacha kama ulivyooo.

Lakini ukiwa mtoaji hata hela ya soda utahudumiwa kama vizuli na mgojwa.

buku mbili au tatu.
 
Swali kubwa ni nani aliwahi kuzitumia akapokelewa vyema? je tuna huo utamaduni wa kufwata mifumo ya kudai haki zetu kila zinapopindishwa? au ndio tunakuwa wakulalamika bila ya kupitia hizo sehemu husika kwanza? tujiulize na tukipata jibu tutapata pakuanzuia.
Mpaka nmetoa hzo Details jua na mimi nliwah kupata hzo Shida hapo zakhem lakn baada ya kupiga simu nlihudumiwa kama Mfalme.
Kabla ya kuja Jamiiforum kutoa malalamiko unatakiwa uwe unapita ngazi zote kutoa malalamiko. Sio unakimbilia tu hapa.
 
Hapo sitaki hata kupasikia, wanapenda rushwa hasa kwa wamama wanaotaka kujifungua, utaskia kanunue mkasi, groves, pamba nk, ukitaka kwenda kununua wanakwambia leta hela kila kitu utapata
Hebu wategesheni na mihela ya Takukuru kenge hao.
 
Braza tatizo una mkono wa birika ............

Watumishi wengi wa kibongo mkuu njaa kali

Kama huwaungii na wao wanakuacha kama ulivyooo............

Lakini ukiwa mtoaji hata hela ya soda utahudumiwa kama vizuli na mgojwa.

buku mbili au tatu .........
Acha kupromote Rushwa mkuu
 
Mpaka nmetoa hzo Details jua na mimi nliwah kupata hzo Shida hapo zakhem lakn baada ya kupiga simu nlihudumiwa kama Mfalme.
Kabla ya kuja Jamiiforum kutoa malalamiko unatakiwa uwe unapita ngazi zote kutoa malalamiko. Sio unakimbilia tu hapa.
Nakubaliana na wewe na huo ndio mfumo tunapashwa kuufwata hata huku kwenye usafirirshaji wametuwekea number za wahusika ktk mizani zote bara barani usipo kubaliana na maamuzi ya hapo unatakiwa kupiga number husika basi unatatuliwa vyema.
 
Hospitali ya Mbagala Zakhem iliyopo Mbagala Dar es Salaam imekuwa kama ni sehemu ya kuwamaliza Watu, kuna mifano mingi tu kuhusu huduma zao kutokuwa na kiwango kizuri na hivyo kuwaathiri wengi.

Mfano kuna Mtoto wa ndugu yangu mwenye umri wa Mwaka Mmoja na Nusu, alikuwa anasumbuliwa na Degedege, pia Mtoto wa jirani yangu naye alikuwa anasumbuliwa na Upungufu wa Damu ingawa huyu ni mkubwa kama umri wa miaka 17 hivi.

Walipofikishwa hospitali hapo kupata huduma, Manesi na Madaktari hawapo care kabisa kwa kuwa wanajua mwisho wa Mwezi wataingiziwa tu kodi yetu ili wazitafune.

Ukijaribu kuwauliza kitu Watumishi wa hapo kuhusu huduma zao wanakwambia usiwafundishe kazi na wanakuwa wakali kuliko Simba mwenye njaa.
Mtoto aliyekuwa na degedege alipona baada ya kutoka hapo hospital?
 
Back
Top Bottom