Mfano ni biashara ya mazao ni nzuri sana ukiuza nje ya nchi mfano kenya au sudan kusini, ila zimejaa umafia, rushwa, kufanyiwa maamuzi na wakubwa, n.k.
KUJUANA NA WAKUBWA / WAZEE WA MCHINJO
Ni hadi uunge chain ili uuze nje sio kienyeji tu, kuna vyama vinaundwa vya watu wanaouza nje lakini kiuhalisia ni kama cartels hizi tunazoona kwenye series za kina pablo, wale madon wamegawana maeneo ya masoko ya nje inawezaa kuwa kwa kigezo cha mipaka, wateja, misimu, maeneo, n.k. na hata kujiunga kuwa mwanachama kuna ugumu usishangae kuambiwa "wote tukiuza nje nani atakusanya mzigo, we uwe dalali wetu uwe unatuuzia sisi kwa uhakika" na hata ukiwa mwanachama wa kawaida ukipata mteja huko nje inabidi ujaribu kuyajenga mapema na wazito wajue na wakupe ruhusa, naposema kuyajenga inabidi ukubali mgawane asilimia flani ya mauzo.
RUSHWA
ipo hivi mfanyabiashara wa mazao anayeuzia kenya anapaswa kuwa chini ya hivyo vyama na apewe namba za askari wa barrier zote kutokea arusha mpaka sokoni kenya, na pale border vilevile, kwa hiyo mzigo ukifika kabla haujafika barrier askari wanajua mzigo wa fulani unakuja, border vilevile, na wanakuwa kwenye payroll yako, unakuwa unawatoa kwa chochote kitu,
UMAFIA
kuna jamaa alitaka kuuza mazao nje ya nchi, alitaka kuuza independently bila kuwa chini ya hivyo vyama, kilichomkuta alijuta, mzigo wa tani 30 ulizuiliwa mpakani namanga, akaambiwa yana aflatoxin, marufuku kuingia kenya, alipambana kuhonga na nini lakini hakufanikiwa kuuingiza.
kama hujulikani wale mafia wakijua unapeleka mzigo, simu zinapigwa kote, zuieni huo mzigo! Baba hupiti!! Ukivuka barriers zote safari yako inaishia namanga, utatoboka hela hadi mzigo unakupiga hasara takatifu, pale border mwishoni watakuja wakukatishe tamaa kabisa, kisha wakuambie uwauzie wao kwa bei ya hasara, ukikubali(probably utakubali tu) wao wanayanunua, na kuyavusha kiulaini kabisa,unarudi home na hasara yako.
source
KUJUANA NA WAKUBWA / WAZEE WA MCHINJO
Ni hadi uunge chain ili uuze nje sio kienyeji tu, kuna vyama vinaundwa vya watu wanaouza nje lakini kiuhalisia ni kama cartels hizi tunazoona kwenye series za kina pablo, wale madon wamegawana maeneo ya masoko ya nje inawezaa kuwa kwa kigezo cha mipaka, wateja, misimu, maeneo, n.k. na hata kujiunga kuwa mwanachama kuna ugumu usishangae kuambiwa "wote tukiuza nje nani atakusanya mzigo, we uwe dalali wetu uwe unatuuzia sisi kwa uhakika" na hata ukiwa mwanachama wa kawaida ukipata mteja huko nje inabidi ujaribu kuyajenga mapema na wazito wajue na wakupe ruhusa, naposema kuyajenga inabidi ukubali mgawane asilimia flani ya mauzo.
RUSHWA
ipo hivi mfanyabiashara wa mazao anayeuzia kenya anapaswa kuwa chini ya hivyo vyama na apewe namba za askari wa barrier zote kutokea arusha mpaka sokoni kenya, na pale border vilevile, kwa hiyo mzigo ukifika kabla haujafika barrier askari wanajua mzigo wa fulani unakuja, border vilevile, na wanakuwa kwenye payroll yako, unakuwa unawatoa kwa chochote kitu,
UMAFIA
kuna jamaa alitaka kuuza mazao nje ya nchi, alitaka kuuza independently bila kuwa chini ya hivyo vyama, kilichomkuta alijuta, mzigo wa tani 30 ulizuiliwa mpakani namanga, akaambiwa yana aflatoxin, marufuku kuingia kenya, alipambana kuhonga na nini lakini hakufanikiwa kuuingiza.
kama hujulikani wale mafia wakijua unapeleka mzigo, simu zinapigwa kote, zuieni huo mzigo! Baba hupiti!! Ukivuka barriers zote safari yako inaishia namanga, utatoboka hela hadi mzigo unakupiga hasara takatifu, pale border mwishoni watakuja wakukatishe tamaa kabisa, kisha wakuambie uwauzie wao kwa bei ya hasara, ukikubali(probably utakubali tu) wao wanayanunua, na kuyavusha kiulaini kabisa,unarudi home na hasara yako.
source