Salim Kikeke rasmi kwenda Crown TV

Cute Wife

Senior Member
Nov 17, 2023
123
298
Salama Wakuu?

Watu walitabiri na kutabiri mara Kikeke anaenda TBC, mara anaenda Wasafi, mara atalamba teuzi za Rais Samia akaungane na Zuhura, sasa kutabiri kumeisha, Kikeke huyooo kwa CROWN. Mjadala sasa umeisha.

Ila hii mbinu ya kudiss kuonesha anaenda sehemu fulani kwa kudiss redio nyingine mnaionaje Wakuu?

Kwamba aligoma kupokea simu kutoka WACHA FUU FM (Wasafi), KISINGELI FM (EFM) pamoja na ICE CREAM TV (Azam TV) na kupokea simu ya KING (Crown FM) kwa Ali Kiba.

Hawawezi kutangaza ujio wao kwenye media hizo bila diss?


 
Salama Wakuu?

Watu walitabiri na kutabiri mara Kikeke anaenda TBC, mara anaenda Wasafi, mara atalamba teuzi za Rais Samia akaungane na Zuhura, sasa kutabiri kumeisha, Kikeke huyooo kwa CROWN. Mjadala sasa umeisha.
Seriously?

Labda kutoka kwake BBC ilikuwa aje apumzike nyumbani Tanzania otherwise sikuona sababu yake kuacha kazi BBC kisha aje aajiriwe na Alikiba Bongo 🙌
 
Seriously?

Labda kutoka kwake BBC ilikuwa aje apumzike nyumbani Tanzania otherwise sikuona sababu yake kuacha kazi BBC kisha aje aajiriwe na Alikiba Bongo 🙌
Hivi kwa kufikiri hata kidogo tu...mtu unaweza kuacha kazi BBC?!

Hapa kulikuwa na kuachishwa kazi ama kustaafu kwa mujibu wa sheria... hayo mawili hapo juu mojawapo lilimkuta salym...

Kuachishwa kazi kwa mtu mwenye hadhi kama yeye... siku zote huitwa MUTUAL AGREEMENT

Ila Kuachishwa kwetu kazi sisi hohehahe kunaitwa TERMINATION!
 
Hivi kwa kufikiri hata kidogo tu...mtu unaweza kuacha kazi BBC?!

Hapa kulikuwa na kuachishwa kazi ama kustaafu kwa mujibu wa sheria... hayo mawili hapo juu mojawapo lilimkuta salym...

Kuachishwa kazi kwa mtu mwenye hadhi kama yeye... siku zote huitwa MUTUAL AGREEMENT

Ila Kuachishwa kwetu kazi sisi hohehahe kunaitwa TERMINATION!
Nami nahisi ilikuwa hivyo japo Kuna Siasa hapa kati zinasema aliandaliwq kuwa mrithi wa Charles Hilal pale Azam ama kuwa mrithi wa Ayoub Ryoba pale TBC

All in all Kwa exposure yake alipaswa awe anamiliki online tv na blogs huku akiwa amewaajiri Vijana kadhaa

Badala yake unakuja kuajiriwa na Alikiba 🙌
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom