Rais wa UEFA Ceferin atoa Onyo kinachoendea Saudi Arabia

Smart codetz

Senior Member
Jan 25, 2023
191
753
Rais wa UEFA Ceferin: "Usajili wanaoufanya SAUDIA ni makosa kwa soka la kwao. Wawekeze hizo pesa kwenye academy, walete makocha na waendeleze wachezaji wao wenyewe, kununua wachezaji wanaomalizia soka lao sio mfumo wa kuendeleza soka, kosa kama hilo walilifanya China.”

D9720F6D-EE62-4524-895F-FCBE7EC18A3F.jpeg
 
Nina uhakika hili lilikuwa ni swali kutoka kwa muandishi akijibu
Ameongea kitu Cha kweli sana tena na uwazi kama ni wasikivu watamuelewa China walijaribu kufanya hivi wakashindwa
Ukitaka kuendeleza mpira wekeza kwa vijana Kisha miundo mbinu Bora ya viwanja na makocha halafu media baada ya hapo ligi Yako itafanikiwa huu ni ukweli wa maendeleo
 
Back
Top Bottom