Tanzania secures $7.6 billion financing deal from Chinese lender to build new railway
President John Magufuli with China Exim Bank president Liu Liang after holding talks at Chamwino State Lodge...
Summary:
The project will involve the following components:[2]
A port at Manda Bay, Lamu
Standard gauge (1,435 mm (4 ft 8 1⁄2 in)) railway line to Juba and Addis Ababa, the South Sudanese and...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Naibu Rais wa Kenya Bwana Gachagua amekosolewa Vikali Kwa kuanzisha na kirahisi kuipigia chapuo sera ya ubaguzi wa kiuchumi aliyooiita Kwa jina la One Man,One Vote,One Shiling.
Wabunge kutoka...
It is time to put things to end now, lets give an account of progress for these two projects! No more time for mere yaps...
CC: Tony254, joto la jiwe, NDINDA n eliakeem
Moderator plse pin...
Binti ya Hayati Rais John Pombe Magufuli, Jessica Magufuli, akiwa ni mwenye furaha baada ya kupanda matatu yenye graffiti za sura ya marehemu babake Jijini Nairobi.
Matatu ni neno la mtaa lenye...
Kamati ya Bunge la Marekani🇺🇲 kuhusu Mambo ya Nje imemuandikia barua Spika wa Bunge kuomba ridhaa yake ili Rais William Ruto ahutubie kikao cha pamoja cha Bunge hilo
Iwapo Mheshimiwa Spika...
Wakati Kenya imeendelea kutawala shehena za bandari katika ukanda wa Afrika Mashariki, kuna tishio kubwa kutoka Tanzania kutokana na Bandari yake ya Dar es Salaam kuongeza mizigo mara dufu katika...
Hapa naomba ndugu Zangu Malaria 2 FaizaFoxy na The Big Show mnipe Elimu kidogo kwanini Waislam hawavalishwi Nguo na Viatu wanapozikwa
Ni hilo tu maana mazishi ya General Ogolla yamenifunza kitu...
Mamlaka inayosimamia Huduma ya Umeme Nchini Kenya (The Kenya Power and Lighting Company PLC-Kenya Power) imetangaza tatizo la kukosekana kwa umeme katika maeneo mengi ya Nchi hiyo ambalo...
Ingekuwa ni Tanzania haki ya Mungu huyu Dereva wa hili Lori ningegawana nae Majengo ya Serikali kwani ni mpumbavu sijapata kuona.
Yaani anaona kabisa mto umefurika na watu wa pande zote mbili...
Siyo mkenya wala sizisijui sana Siasa za Kenya.
Lakini Leo wakati namsikiliza Rais William Ruto akizungumzia mfuko wa Jimbo (CDF) nimepata hisia kwamba yeye ni bora zaidi kuliko labda Raila...
Wadau hamjamboni nyote?
Meja Jenerali Fatima Ahemed Amekuwa mwanamke wa kwanza kuteuliwa kuwa Mkuu wa vikosi vya Jeshi la Anga Kenya
Taarifa kamili hapo chini
===
Kenya's President William Ruto...
Baada ya mbunge wa Kisesa mh Luhaga Mpina kuwasha moto bungeni kwamba kifo Cha Magufuli kichunguzwe, rafiki wa Magufuli naye huko Kenya amewasha moto mbele ya Rais Ruto akitaka kifo Cha CDF Ogola...
Na bahati nzuri hilo Kosa lake ameliweka Yeye mwenyewe katika Ukurasa wake wa X (zamani Twitter) nadhani akidhani kuwa alichokifanya kilikuwa ni sahihi wakati Kiuhalisia na kwa hali iliyoko na...
Generali Ogolla wa Kenya, alifariki katika mazingira ya kutatanisha. Swali linalokuja ni: Je, serikali ilihusika? Na ikiwa hapana, Je, Kenya itajikuta lini kwenye hatari ya mapinduzi ya kijeshi...
Tazama hapo kwenye video raia wanauliza kwanini umevamia gari yetu polisi hawana majibu, wanaulizwa tumefanya kosa gani hawana majibu, wanaambiwa watoe vitambulisho kuthibitisha kuwa wao ni polisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.