Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,373
- 5,979
Leo ni siku ya ijumaa, al hamdu liLlah nimesali pamoja na waislamu wenzangu, nasubiri muda wa iftar ufike kisha sala ya ISHAA then TARAWEEH inshaa Allah
Ila nitasikitika sana sana Ndugu zangu Waislamu wale ambao sala kwao sio muhimu ila Mpira kwao ndio kipaumbele na muhimu kuliko sala.
Je! Mpira ndio utakuingizeni peponi! Hivi unaachaje kusali na kukimbilia mambo ya kidunia, ya kipumbavu yasiyokua na maana! Unaacha kumuabudu Mwenyezi Mungu aliekuumbeni na akawapa rizki badala yake mnakimbilia mpira, kweli!
Nawausia, pamoja na kuiusia nafsi yangu twendeni msikitini, mambo ya kwa mkapa achaneni nayo, na wale wanaosali sala ya ishaa na kutoka bila kusali TARAWEEH kisa mambo ya dunia/mpira kwa kweli tutaenda kuulizwa.
Kwanza mpira ni Haram, na uharam wake mnaujua.
Assalaam alaikum warahmatullah
Ila nitasikitika sana sana Ndugu zangu Waislamu wale ambao sala kwao sio muhimu ila Mpira kwao ndio kipaumbele na muhimu kuliko sala.
Je! Mpira ndio utakuingizeni peponi! Hivi unaachaje kusali na kukimbilia mambo ya kidunia, ya kipumbavu yasiyokua na maana! Unaacha kumuabudu Mwenyezi Mungu aliekuumbeni na akawapa rizki badala yake mnakimbilia mpira, kweli!
Nawausia, pamoja na kuiusia nafsi yangu twendeni msikitini, mambo ya kwa mkapa achaneni nayo, na wale wanaosali sala ya ishaa na kutoka bila kusali TARAWEEH kisa mambo ya dunia/mpira kwa kweli tutaenda kuulizwa.
Kwanza mpira ni Haram, na uharam wake mnaujua.
Assalaam alaikum warahmatullah