Thabit Karim
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 367
- 651
Habari ndugu naombeni msaada wa kufunga King'amuzi cha canal plus. Niko Tanzania. Nasikia vifurushi hasa vya mpira ni bei nafuu kuliko Dstv
Naombeni taratibu za kukinunua yaani nakinunulia wapi, bei, mafundi na utaratibu wa malipo na Chanel zinazopatikana.
Niko Moshi
Naombeni taratibu za kukinunua yaani nakinunulia wapi, bei, mafundi na utaratibu wa malipo na Chanel zinazopatikana.
Niko Moshi