Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

  • Sticky
All about Satellite tv, both FTA free to air and paytv available in Africa. Sat gear in use plus more....
84 Reactions
36K Replies
6M Views
  • Sticky
Katika thread hii tutajifunza namna ya kutengeneza application za Android "from the scratch", Japokuwa kuna "platforms" mbalimbali mtandaoni ambazo zinaweza kumsaidia mtu yoyote kuunda apps hata...
50 Reactions
184 Replies
90K Views
  • Sticky
Simu yangu ya htc ilipasuka kioo, nikatafuta weee, mwisho kuna mtu humu jukwaani akanitajia fundi yupo posta anaitwa sele. nikaenda kufika kaniambua kioo kipo ila bei laki, haipungui wala nini...
66 Reactions
2K Replies
366K Views
  • Sticky
hapa nimeweka na nitakuwa naweka kwenye uzi huu wallpapers za jamiiforums (submitted by users) ambazo mtaweza kupamba desktop za computer zenu.... pia soon zitakuja za mobile as soon as poassible...
50 Reactions
88 Replies
77K Views
  • Sticky
Hello Guys, Najua Mobile users wa JF wanamiss vitu ving sana vya uzuri wa JF. Mfano kuweka Rangi katika Maandishi ya Post yako au Thread. SASA KAMA UNATAKA KUWEKA rangi katika Post yako kuna...
111 Reactions
6K Replies
449K Views
  • Sticky
Habari wakuu, Kutokana na jukwaa letu kuwa na mada nyingi nzuri japo nyingine za muda kidogo, mada maalum zinazoelezea matatizo ya kitu fulani lakini hazionekani kirahisi na kadhalika nimeomba...
20 Reactions
55 Replies
47K Views
  • Sticky
Pata kujua jinsi watu wanavyounlock modem unakaribishwa kwa maswali na utasaidiwa. BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU JAMBO HILI Wakuu Habarini! Nimekwama Hapa Jinsi Ya Ku Unlock Hii...
6 Reactions
418 Replies
135K Views
  • Sticky
Wakuu, Penye wengi, pana mengi pia. Jukwaa hili pamoja na kuwa na matangazo mengi, lakini wengine ni matapeli wakubwa sana. Tafadhali, tulishatoa angalizo na tunasisitiza tena: Mnapoamua kufanya...
20 Reactions
41 Replies
26K Views
Habari Wana jamii,,nimeamua kuanzisha hii thread Ili kuelezea experience yangu na TTCL Fiber Ili iwe faida Kwa wengine wanaotaka kufahamu .. Nitaelezea ufanisi wake kulingana na matumizi ya mtu...
9 Reactions
38 Replies
2K Views
Wakuu zangu nliomba kujuzana juu ya chanel mbalimbali za DSTV...Ama wewe mpenzi wa DSTV unaifurahia chanel ipi katika kujifunza kwako. Nawasilisha
0 Reactions
9 Replies
286 Views
Nataka nitengeneze App ya TV ambayo ndani yake kutakuwa na channels za kutizama mpira na vipindi mbalimbali vya TV (movies, news) Je, zina faida? Au nitawezaje kunufaika nayo?
0 Reactions
7 Replies
85 Views
Wakuu habari, naombeni msaada wenu, Iko hivi kuna manzi niko nae, ex wake alichukua simu ya manzi wangu na kuni block kwenye calls za kawaida. Yaani nikipiga au manzi akicheki simu zinakuwa...
2 Reactions
24 Replies
283 Views
Google wametangaza maboresho ya kupunguza wizi na kulinda data pale simu inapoibiwa. Baadhi zitakuja na Android 15 na baadhi zitakuja kwenye Android kuanzia 10 kwa kupitia update ya Play...
2 Reactions
7 Replies
180 Views
Hili limekua tatizo kubwa sana kwa simu za kitochi 4G ukiitumia baada ya muda Fulani Kanaganda yaani ukiiwasha haiwaki inaishia hapo tu kwenye "karibu tigo". Je, unaweza kutumia mbinu gani...
9 Reactions
64 Replies
5K Views
Habari kwa wanaJamiiForums wote! Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, siku ya jana baada ya kuifungua account yangu ya whatsApp niliendelea na mambo yangu ya kawaida (ku-chat na kuangalia...
4 Reactions
28 Replies
474 Views
Nina Mifi router ya tigo, inaitwa HOME INTERNET Sasa nataka kuconnect na laptop yangu Nifanye configuration Ili niweze kutumia WIFi Msaada Kwa mtu ambae ana router kama hii tafadhari.
1 Reactions
9 Replies
90 Views
Habari Jamii! Nimekuwa nikifikiria sana jinsi teknolojia inavyobadilisha jinsi tunavyoishi na kufanya kazi leo. Kutoka kwa simu zetu za mkononi hadi kwa matumizi ya AI, teknolojia inaingilia kati...
0 Reactions
8 Replies
157 Views
Wakuu kama thread inavojieleza either kulingana na uzoefu wako au umeskia ndugu jamaa wanasema tupate, mkombozi wa mapishi kwa umeme. Induction cooker Multi Cooker
3 Reactions
87 Replies
3K Views
Habari wakubwa hii leo nakupa hii ya bure kabisaa Uliza swali kama hujaelewa Twende pamoja Jinsi ya Kuchagua Speakers Bora kwa Kufurahia Muziki Kwa wapenzi wa muziki, kuchagua speakers ni uamuzi...
2 Reactions
5 Replies
152 Views
Habari za jioni,Nina kama shilingi za kitanzania 350,000/= je ni simu gani nzuri ya Android ambayo naweza kupata kwa pesa hii ama chini ya hapo. Niliwahi kuandika thread kama hii kuhusu simu za...
2 Reactions
675 Replies
133K Views
Wakuu habari za mchana, Naomba kueleweshwa kwa mwenye kujua tofauti kati ya Mac book Pro na Mac book Air (apple) maana kuna jamaa kaniambia anayo na mimi nahitaji mac book so sijui ipi nzuri...
1 Reactions
17 Replies
6K Views
Huawei amezindua series za Pura 70 nchini China ikifungua ukurasa mwingine wa maendeleo pamoja na vikwazo vya Marekani. Ripoti zinasema simu hiyo imetumia zaidi vifaa vinavyotengezwa China kuliko...
5 Reactions
38 Replies
1K Views
Ndugu zangu nilijiunganisha na airtel 5g unlimited internet nikajua kwamba hawana limit ya volume kumbe unahesabiwa gb na GB zikiisha speed ya internet inapungua. Mimi nilitoka kuwa na speed ya...
9 Reactions
94 Replies
5K Views
Naitajia maelezo nielewe umihimu wa ku update Android software na Hasara usipo update android
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Hi Wana JF Tanzania tuko na mitandao mitatu ya simu inayo toa huduma ya internet.Kati ya hiyo ni upi ambao huduma zao ni faster sana. Na rate zao ni sh ngapi kwa KB or MB kadhaa?..nafahamu...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
nimeambiwa hiki ni kifaa cha kuweza kuweka lain za sim nyingi hadi laini 8 kwa wakati mmoja kwa pamoja, naomba kuuliza inaruhusiwa kisheria kumiliki hiki kifaa na kama ni ndio kinapatikana wapi...
0 Reactions
11 Replies
603 Views
Nimeona jamaa hawa wanatangaza internet yao ya satellite kwa 60k kwa mwezi. Huko nyuma nomewahi sikia kwamba internet ya satelilite huwa slow sana ukifananisha na ya cable/minara. Pia naona...
7 Reactions
88 Replies
10K Views
Back
Top Bottom