Mwanzilishi wa Uislamu wa Shia ni Myahudi

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,467
23,759
Nimegundua ni ngumu sana kuwalaani au kuwachukia Wayahudi. Hili dhehebu la Shia katika Uislamu ni zao la Myahudi ambaye alitumwa aende anzisha hili dhehebu katika uislamu. Abdullah Ibn Sabai Karne ya 7 huko.

Nimekuwa nikitafakari sana ni sehemu chache sana hawa Wayahudi huku asili yao. Chache sana. Na mkitizama kuna utofauti mkubwa wa Answar Sunni na Shia. Shia wengi hata shule wameenda wapo moderate kidogo.

Tofauti na sisi Answar Sunni. Sisi huwa tuna hisia sana.... Taakbirrrrr...

Tunahisia sababu sisi si kama makafir haya yanaleta na ufahamu wa ilimu duniya. Sisi ni ilim akhera tu na hatujali wala nini. Tumswalieni mtumee ndugu zanguni. Hali ni mbaya
 
432951313_122139186050196356_1441462515712149170_n.jpg
 
Hivi hawa wanaojiita ni waislam wa BAKWATA ndio hao washia na hawa wa siasa kali ni wasuni? Vipi kuhusu waislam wa ahmadiya, ismailiya na mabohara? Je watalebani ni waislam gani?
 
Kuna ule uislam wa kina osama bin laden, anajulikana ni msaudia lakini si msuni yule ana uislam wake na kundi lake la al qaeda
 
Nimegundua ni ngumu sana kuwalaani au kuwachukia Wayahudi. Hili dhehebu la Shia katika Uislamu ni zao la Myahudi ambaye alitumwa aende anzisha hili dhehebu katika uislamu. Abdullah Ibn Sabai Karne ya 7 huko.

Nimekuwa nikitafakari sana ni sehemu chache sana hawa Wayahudi huku asili yao. Chache sana. Na mkitizama kuna utofauti mkubwa wa Answar Sunni na Shia. Shia wengi hata shule wameenda wapo moderate kidogo.

Tofauti na sisi Answar Sunni. Sisi huwa tuna hisia sana.... Taakbirrrrr...

Tunahisia sababu sisi si kama makafir haya yanaleta na ufahamu wa ilimu duniya. Sisi ni ilim akhera tu na hatujali wala nini. Tumswalieni mtumee ndugu zanguni. Hali ni mbaya

Nyie endeleeni na mudi wenu, na hao waajemi muwaache na yao. Maana ninyi mmechagua uzombi, umasikini na ujinga wa kukataa elimu.
 
Inakuaje aina fulani ya uislam wengi ni jamii moja? Jumuiya kama aga khan na zingine nyingi unakuta ni waislam fulani, halafu hawana mambo ya fujo na vita, wao ni ku deal na mambo ya elimu na afya tu hawajihusishi na mambo ya vita
 
Inakuaje aina fulani ya uislam wengi ni jamii moja? Jumuiya kama aga khan na zingine nyingi unakuta ni waislam fulani, halafu hawana mambo ya fujo na vita, wao ni ku deal na mambo ya elimu na afya tu hawajihusishi na mambo ya vita

Hawa ni wasomi. Ni jamii ya watu waliopata elimu na wamekaa kaa sana na makafir wakajifunza ustaarab wao. Ndo maana unawaona wanajikita kwenye Elimu na Afya. Huwakuti wakijitoa mhanga hata siku moja.
 
Hivi hawa wanaojiita ni waislam wa BAKWATA ndio hao washia na hawa wa siasa kali ni wasuni? Vipi kuhusu waislam wa ahmadiya, ismailiya na mabohara? Je watalebani ni waislam gani?
Tanzania ni hakuna Washia au ni less than 2%, duniani kote only 15% pekee ya Waislam ndio Washio, sehemu kubwa yao (70%) inapatikana Iran, then Iraq, Lebano, Bahrain, Syria na Yemen kwa mbali.

Mashariki ya kati hata hapa Tanzania, kwa waslam wa Kisunni hawaamini kama Mashia ni Waislam, na badala yake ni dini tofauti kabisa
 
Inakuaje aina fulani ya uislam wengi ni jamii moja? Jumuiya kama aga khan na zingine nyingi unakuta ni waislam fulani, halafu hawana mambo ya fujo na vita, wao ni ku deal na mambo ya elimu na afya tu hawajihusishi na mambo ya vita
Hao ni Washia au aina ya dhehebu ya Kishia, hakuna Uislam usio na fujo, wako kwenye mission ya kuunda mazingira ya fujo
 
Back
Top Bottom